Endelea na uzungu wako,Kila dini au kabila au taifa wana kalenda yao.
Ila kalenda ya mzungu ambayo inasema kuwa Jumapili ndio siku ya saba ya wiki na Juma tatu kuwa siku ya kwanza ya wiki is 'the most accurate calendar'.
Kwa hiyo ni vyema sote tufuate kalenda ya mzungu na kuachana na hizo kalenda nyingine zenye mapungufu.
Ujinga mwingine huu hapa.Hakuna siku ya kwanza wala ya mwisho ya wiki, inategemea umeanzia wapi kuhesabu. Thats it.
Mimi siongelei muktadha wa kukubaliana na ibada (za wayahudi) au kukataa kwake (Muhammad),nachoongelea Mimi ni uhalali wa siku ya saba na siku ya Kwanza ya Juma ni ipi ..wakristo huabudu siku ya ufufuo wa bwana(Yesu Kristo ) mathayo 28:1,Marko 16:2, Luke 24:1,Yohana 20:1 na 20:19 ambayo ni sunday au Kwa Kiswahili ni jumapili wakati dhehebu la wasabato huabudu siku ya saba jumamosi,wakati huo huo waislamu huabudu siku ya sita ijumaa... alhamisi (al hamsa) ikiwa na maana ya siku ya tano (hamsa=tano) wakati jumaa ni siku ya sita na jumamosi ni siku ya sabaHapana siitaji mistari mkuu...ila ninachojua ni kuwa huyo Muhammad hakuwahi kukubali ibada za mayahudi maana aliziona ni za kikafiri...
Haya unajua weweInternational Standards and time ndio Calendar?
Hivi unajua hata maana ya Calendar?
Haya unajua wewe
Na leo ndio umeanza wiki
Shida vijana wa New Age huwa wanalazimisha kika kitu.Mwambie tutumie Calendar ipi au yake?
Kwa Waislam siku zao wanazitamka hivi;
Names of the days of the week
yaum as-sabt يوم السَّبْت (sabbath day)
yaum al-ahad يوم الأحد (first day)
yaum al-ithnayn يوم الإثنين (second day)
yaum ath-thalatha' يوم الثُّلَاثاء (third day)
yaum al-arba`a' يوم الأَرْبعاء (fourth day)
yaum al-khamis يوم الخَمِيس (fifth day)
yaum al-jum`a يوم الجُمْعَة (gathering day
Sisi wa huku Kimbiji, sasa ndio nukuuliza, kwanini limeitwa juma la ‘tatu’ na watu wa Kimbiji?Monday ndio inafahamika internationally
Juma na tatu kaa navyo huko kimbiji
Dogo nimeenda shule kuliko weweMkiambiwa muende shule hamtaki,
Kumbe hata wewe ulipotea siku nyingi. Hakika first day of the week ni jumapili, ulidanganywa siku nyingiHuwa nafuatilia sana kipindi chenu cha watoto shanghai. Leo asubuhi nikamsikia host wa Kipindi akiwaamanisha watoto kuwa Saturday is the last day of the week and Sunday is the first day of the week and Monday being the second.
That's cheating and not teaching.Waombeni radhi watoto wetu.
Kwa mujibu wa Biblia, jumamosi ni soku ya saba. Lazima jumapili iwe siku ya kwanzaKulingana na maana ya siku kwa lugha ya kiswahili Jumamosi ndio siku ya kwanza ya wiki.
Mosi=Moja