Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Azam Tv wamezindua chaneli mpya ya Azam Sports 4HD na watarusha La liga ( Ligi Kuu ya Hispania) pamoja na Ligi Kuu ya Italy (Serie A)

Chaneli hiyo itaanza kuruka hewani 1 August 2024.

Tayari Azam Tv anarusha Ligi Kuu ya Tanzania, Ligi Kuu Kenya, Saudia Arabia, Ufaransa, Caf Champions League and Confederation Cup.
 
Azam Tv wamezindua chaneli mpya ya Azam Sports 4HD na watarusha La liga ( Ligi Kuu ya Hispania) pamoja na Ligi Kuu ya Italy (Serie A)

Chaneli hiyo itaanza kuruka hewani 1 August 2024.

Tayari Azam Tv anarusha Ligi Kuu ya Tanzania, Ligi Kuu Kenya, Saudia Arabia, Ufaransa, Caf Champions League and Confederation Cup.
Kama kuna mtanzania kuanzia leo ataendelea kuisema vibaya Azam media, atakuwa na matatizo binafsi!

Hili ni kampuni la kizawa limetengeza ajira nyingi sana! Hakika wanatuheshimisha watanzania!
 
Azam Tv wamezindua chaneli mpya ya Azam Sports 4HD na watarusha La liga ( Ligi Kuu ya Hispania) pamoja na Ligi Kuu ya Italy (Serie A)

Chaneli hiyo itaanza kuruka hewani 1 August 2024.

Tayari Azam Tv anarusha Ligi Kuu ya Tanzania, Ligi Kuu Kenya, Saudia Arabia, Ufaransa, Caf Champions League and Confederation Cup.
Wameshaipachika kwenye kisimbuzi nikaicheki ama!!?
 
Wanaiba kwa mtu ambaye hafatilii yale ma tamthiliya.
Nimejaribu kuiangalia hiyo Karma na Golden boy hata sielewi. Shunie Saint Anne
Basi nakesha cheka plus tu.
Azam wasingekuwa wanaonesha mechi za Ligi kuu ya Tanganyika, aisee ningewakimbia. Kuna wakati huwa ninafikiri hata ile 25 ninayowalipa kila mwezi, wananiibia tu.
 
Back
Top Bottom