Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kuna tamthilia yao fulani mie ilikuwa inanikeraNje ya mpira wa bongo hamna kitu kinanivutia azam.
Ila uswahilini huwaambii kitu kuhusu azam, na pia jamaa wanajitangaza mno mno.
Haipiti siku hujasikia tangazo la azam media iwe redioni, au huko kwenye harakati utakutana nao tu wanazunguka na magari yao au myamvuli yao wanauza madishi.
Dstv iko poa sana tatizo gharama.
Sijui mtaa wa kazamoyo
Walikuja waswahili,wavuta bangi,wacheza vigodoro na wambea wote wakanishambulia.
.......
DsTv sisi wapenda kandanda safi acha ituue tu.