Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 861
- 2,515
EPL ikiingia kwenye mfumo DSTV waandike maumivuTunasubiria EPL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EPL ikiingia kwenye mfumo DSTV waandike maumivuTunasubiria EPL
Malipo ya kila mwezi ni kias ganiNunua Canal+ dishi complete kwa Dar ni 160k
Angalia alparslan na golden boy upunguze mafuta moyoniAzam wasingekuwa wanaonesha mechi za Ligi kuu ya Tanganyika, aisee ningewakimbia. Kuna wakati huwa ninafikiri hata ile 25 ninayowalipa kila mwezi, wananiibia tu.
HD ya dstv ni ya sky sportsSema jambo jingine Azam wanatakiwa kukubali kurekebisha mifumo yao ya ung'aavu kwa mfano HD ya DSTV iko na ubora kweli tofauti na wao.
Dstv akirusha tu Michuano ya Bongo AZAM kwisha habari yake.Hatua nzuri, siku wakianza kurusha EPL ni rasmi watakuwa wamewazika DSTV
DStv atatukamata kwenye UEFA champions league na EPLLaliga and serie A are great games so far, DStv should freshen up
Hiyo sio tu kwenye mpira hata kwenye chanel za movie na maigizo. Ubora ulioko kwenye dstv ni tofauti sana na Azam. Uang'avu wa Upendo tv ndani ya Dstv ni tofauti na ndani ya Azam tv na kwa chanel nyingine pia.HD ya dstv ni ya sky sports
Dstv Zaid ya EPL na UCL hakuna kitu,labda ulipie kifurushi Cha juu zaidi ambacho ni laki na ushee,bila hivyo uangalie mkamata nyoka south Africa,banged up abroad baasi,jua Kali si Bora niangalie waturuki,watu wananenepa wanakonda humohumo,havieleweki😁😁 Azam one at least movie kali ndio natulia hapo, pakinishinda naenda kucheka na cheka plus.
League ikianza itakuwa poa.
wacha sahii nibaki na Jua kali na Mpali😁
Mimi nayetumia vyote maua nawapa Dstv 💥
Dstv Mimi naipendea mpira tu😁😁 Azam one at least movie kali ndio natulia hapo, pakinishinda naenda kucheka na cheka plus.
League ikianza itakuwa poa.
wacha sahii nibaki na Jua kali na Mpali😁
Mimi nayetumia vyote maua nawapa Dstv 💥
Sikulijua hili.EPL wanauza kwa Zone, afrika zone yetu ni sub sahara ambapo inabidi ajikite kuanzia nigeria ghana hadi south ili aweze ku bid na kuwashinda DSTV. anyway hakuna lisiloshindikana japo kuna mlima. EPL haiuzwi rejareja, wanauza jumla kwa Zones dunia nzima
Hapa tunatakiwa kubisha?Sijawahi kuielewa EPL,
Sasa kila mtu na flavor yake. Hao waturuki mimi sielewi.Dstv Zaid ya EPL na UCL hakuna kitu,labda ulipie kifurushi Cha juu zaidi ambacho ni laki na ushee,bila hivyo uangalie mkamata nyoka south Africa,banged up abroad baasi,jua Kali si Bora niangalie waturuki,watu wananenepa wanakonda humohumo,havieleweki
Hawanenepi na kukonda sababu ya content Bali huo upuuzi umechukua muda mrefuSasa kila mtu na flavor yake. Hao waturuki mimi sielewi.
Wale wananenepa na kukonda mixer kunyoa vipara sbb ya content ya wanachoigiza.
Hayo ni maoni yako nina yaheshimu lkn sikubaliani nayo.Kama kuna mtanzania kuanzia leo ataendelea kuisema vibaya Azam media, atakuwa na matatizo binafsi!
Hili ni kampuni la kizawa limetengeza ajira nyingi sana! Hakika wanatuheshimisha watanzania!
45k pamoja na wakalaMalipo ya kila mwezi ni kias gani
Duh nani mmliki?Hao wanakuja labda kama mtu ana haraka, wanainunua dstv