Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

Nje ya mpira wa bongo hamna kitu kinanivutia azam.
Ila uswahilini huwaambii kitu kuhusu azam, na pia jamaa wanajitangaza mno mno.

Haipiti siku hujasikia tangazo la azam media iwe redioni, au huko kwenye harakati utakutana nao tu wanazunguka na magari yao au myamvuli yao wanauza madishi.

Dstv iko poa sana tatizo gharama.
Hivi Azam usipolipa wanazima local channels?
 
Mimi naangalia sana Azam One ile channell ina series na Movie kali, ila sijui kwanini watu wengi wanapenda Azam Two ila kiuhalisia anaesimamia Azam One anaweza vitu vizuri sana. Alafu series za Azam One sio ndefu kama zile za Azam Two watu wanaangalia mwaka mzima kitu kimoja.
Azam one walitisha saana Na blacklist
 
🤣🤣🤣 dah! Mm nmejionea tabu tu
Ukiwaambia mbaya watakuchamba hatari
Mie nishawahi chambwa kisa nimeipnda kuwa ni mbaya

Wamama na mambo ya epl wapi na wapi
Movie za kizungu
Hawaelewi chochote

Zao ni hizohizo za Azam za kina Amina vicoba na za vigodoro.
 
Azam Tv wamezindua chaneli mpya ya Azam Sports 4HD na watarusha La liga ( Ligi Kuu ya Hispania) pamoja na Ligi Kuu ya Italy (Serie A)

Chaneli hiyo itaanza kuruka hewani 1 August 2024.

Tayari Azam Tv anarusha Ligi Kuu ya Tanzania, Ligi Kuu Kenya, Saudia Arabia, Ufaransa, Caf Champions League and Confederation Cup.
Ligi ya Ujerumani
 
sasa wasipojitangaza fedha zao watarudisha vipi,uneona kamera walizozindua leo? moja ni milioni 500 na wamenunua 6,vipi watarudisha fedha zao?
Tuwe wakweli tu, hivi hizo pesa azamu anazotumia kuwekeza kwenye tv, hasa kwenye mambo ya mpira zinatokana na mapato ya tv? Sio kweli, na hilo walishalisema siku nyingi tu,
 
😁😁 Azam one at least movie kali ndio natulia hapo, pakinishinda naenda kucheka na cheka plus.

League ikianza itakuwa poa.
wacha sahii nibaki na Jua kali na Mpali😁

Mimi nayetumia vyote maua nawapa Dstv 💥


Ukiwaambia mbaya watakuchamba hatari
Mie nishawahi chambwa kisa nimeipnda kuwa ni mbaya

Wamama na mambo ya epl wapi na wapi
Movie za kizungu
Hawaelewi chochote

Zao ni hizohizo za Azam za kina Amina vicoba na za vigodoro.
 
Back
Top Bottom