Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

Azam Tv wazindua chaneli mpya Azam Sports 4HD, watarusha La liga pamoja na Serie A

Wanaiba kwa mtu ambaye hafatilii yale ma tamthiliya.
Nimejaribu kuiangalia hiyo Karma na Golden boy hata sielewi. Shunie Saint Anne
Basi nakesha cheka plus tu.

Mimi naangalia sana Azam One ile channell ina series na Movie kali, ila sijui kwanini watu wengi wanapenda Azam Two ila kiuhalisia anaesimamia Azam One anaweza vitu vizuri sana. Alafu series za Azam One sio ndefu kama zile za Azam Two watu wanaangalia mwaka mzima kitu kimoja.
 
Wanaiba kwa mtu ambaye hafatilii yale ma tamthiliya.
Nimejaribu kuiangalia hiyo Karma na Golden boy hata sielewi. Shunie Saint Anne
Basi nakesha cheka plus tu.
Mabeki tatu wote wanaangalia AZAM TV
Wale watu wote wa ushwahilini wanaangalia Azam Tv
Na huwaambii kitu.

Mimi hadi nimejifunza kuangalia sinema zetu,na Azam 2 naangalia Golden Boy japo nayo inazunguka hapohapo.
Kila nikirudi beki tatu amekomaa na Azam 2 sijui golden boy yaani ni balaa.
Baadaye nimekuja kugundua
DsTv inafuatiliwa na wababa na wakaka wapenda Soka la nje
Azam TV Ina soko kwa wa mama wote wa uswahilini,nyumbani na Mabeki tatu.
 
Mabeki tatu wote wanaangalia AZAM TV
Wale watu wote wa ushwahilini wanaangalia Azam Tv
Na huwaambii kitu.

Mimi hadi nimejifunza kuangalia sinema zetu,na Azam 2 naangalia Golden Boy japo nayo inazunguka hapohapo.

Baadaye nimekuja kugundua
DsTv inafuatiliwa na wababa na wakaka wapenda Soka la nje
Azam TV Ina soko kwa wa mama wote wa uswahilini,nyumbani na Mabeki tatu.
Nje ya mpira wa bongo hamna kitu kinanivutia azam.
Ila uswahilini huwaambii kitu kuhusu azam, na pia jamaa wanajitangaza mno mno.

Haipiti siku hujasikia tangazo la azam media iwe redioni, au huko kwenye harakati utakutana nao tu wanazunguka na magari yao au myamvuli yao wanauza madishi.

Dstv iko poa sana tatizo gharama.
 
Nje ya mpira wa bongo hamna kitu kinanivutia azam.
Ila uswahilini huwaambii kitu kuhusu azam, na pia jamaa wanajitangaza mno mno.

Haipiti siku hujasikia tangazo la azam media iwe redioni, au huko kwenye harakati utakutana nao tu wanazunguka na magari yao au myamvuli yao wanauza madishi.

Dstv iko poa sana tatizo gharama.
sasa wasipojitangaza fedha zao watarudisha vipi,uneona kamera walizozindua leo? moja ni milioni 500 na wamenunua 6,vipi watarudisha fedha zao?
 
sasa wasipojitangaza fedha zao watarudisha vipi,uneona kamera walizozindua leo? moja ni milioni 500 na wamenunua 6,vipi watarudisha fedha zao?
Sijapinga kujitangaza kwao, nimemaanisha huko kujitangaza ndio kunafanya azam itumiwe sana Tz.
 
Back
Top Bottom