moshathedoniaa
Senior Member
- Jun 22, 2021
- 178
- 314
Uende sasa ukashangae kameraMsikhofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uende sasa ukashangae kameraMsikhofu
Nafurahi sana kuona unajifunza kwa makosa shukranSawa, naahidi kutokosea kuandika.
Ahahahah we jamaa ujiheshimu...Uende sasa ukashangae kamera
😀😀hutaki kuonekana kwa tvAhahahah we jamaa ujiheshimu...
Trh 22 nipo pale
Naunga mkono hoja, vipaji tunavyo.waanzishe tu lichaneli la pilau watakuwa wametisha sana!..
Aisee!..hongera.VAR ni process kubwa sizani kama unaelewa kuhusu VAR
Hapana hapana mi ni mtaalamu wa mitambo kwa lugha sanifu mimi ni engineer wa mitambo hivyo kuonekana kwa camera ni very complicated😀😀hutaki kuonekana kwa tv
Tupo pamoja mkuu..Aisee!..hongera.
Ni kweli mkuu umeongea ukweli mtupu tupo pamoja sana hukuKampuni ukishakuwa na staff mnaoaminiana kama ndugu,ni rahisi kuendelea.Ukimsikisikiliza Abubakar Bakhresa anasema ,wao Azam kila mkuu wa kitengo ndiyo anaandaa mpango wa kujitanua ,wao wanampa bajeti tu akamilishe
Hawana management nzuri...ITV super brandino ndiyo inapotezwa hivyo.
Kweli kabisa..Camera za Uwanjani na kurekodi Wanyama porini zina gharama kubwa sana nadhani hiyo 500m ni baadhi ya Lens zake tu zikiwa set nzima...
Nashukuru kwa pongezi zako mkuuAzam wanaweza hakuna ubishi
Ova
Si hapa nchini. Hakuna mwenye pesa kuliko Serikali kupitia raia wake.Kuna mijitu inapesa kuliko Serikali asee.
ha ha ha ha hahaha!Hongera sana Jeikei kwa kuchukua pesa za serikali na kumpa bakhresa.
Ujajua badoHongera sana Jeikei kwa kuchukua pesa za serikali na kumpa bakhresa.