Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
Huwezi kushindanisha mamlaka na mtu binafsi wewe tena kwa nchi kama banana republicKuna mijitu inapesa kuliko Serikali asee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kushindanisha mamlaka na mtu binafsi wewe tena kwa nchi kama banana republicKuna mijitu inapesa kuliko Serikali asee.
Million 500 umeirudia sana je wataalamu wanao!Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa.Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!
Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500.na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!
Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!
Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.
TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Wanashinda kwa Mchongo Ma sasa hivi hata Arise n Shine ni kali kimuonekano lakini mboni EATV ni kali kimuonekano na Ile ni Kampuni 1 usisahauMedia ya kipuuzi mno. MNO
Sijui wanashindaje superbrand
Watakalishwa tu
Ubora wa picha haubadiliki toka nipo mdogo
Kusingekua na MadeniHuwezi kushindanisha mamlaka na mtu binafsi wewe tena kwa nchi kama banana republic
Kwani mada inahusu Nini? Mada ni ya uboreshaji wa mitambo ya kampuni la Azam na specific kwenye mambo ya mpira. Hivyo mambo Mazuri kwenye burudani ya mpira na si kwa namna uliyowaza wewe.Mwanaume unaomba kupewa 'vitu vizuri'?😡😡🤬🤬🤬
Sawa nyie ndio walee hamuonekan Ila mpooHapana hapana mi ni mtaalamu wa mitambo kwa lugha sanifu mimi ni engineer wa mitambo hivo kuonekana kwa camera ni very complicated
🙌Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills,
Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi hawashindwi kwenye vifaa vya ardhini ila Kuna mabwenyenye yenye satellite zao ndio mtihani
Frequency yenye kubeba vichannel 3 kwa kiwango Cha SD(mpeg2) ni zaidi ya 150 million kwa mwaka
Wanaoboresha na kutanua eneo lao kwanzaTBC wanachakujifunza
Sasa 150 million ni nini kwa Yusuphu Bakhresa?ni zaidi ya 150 million kwa mwaka
Yamekushinda?VAR wameleta?, ili lutokomeza tabia ya club ya Yanga kuhonga marefa?..
Hiyo ni SD mkuu, na kama ingekuwa rahisi hata yeye channel zake zote angeweka hdSasa 150 million ni nini kwa Yusuphu Bakhresa?
Tumegoma kula matango poriJamaa yangu nilitaka nikupige bonge 1 la Neno ovu Ila nikakumbuka Kapeace mtu wangu wa faida alishanisihi sana nisiparangane na vitukuu na vilembwe vya Kambarage Nyerere hivi vitukuu na vilembwe na vilembwekeze havielewi hata vieleweshwe vipi
Ukileta Andiko lenye mashiko mithili ya Habari mzito lazima uisupport na ushahidi km picha, Video na sauti sasa Wewe unatuandikia udaku hivi tunakufikiriaje mtu wangu au unataka utembezewe matusi hizo camera za million 500 zipo Wapi picha ipo Wapi videos zipo Wapi zikionyesha hizo camera na mitambo hio mipya? Mengine sitaki kukuhoji sana maana najua nikikuhoji utabust bure
Waongeze pia gharama za vifurushiNa wazidi kutupa vitu vizuri
Safari TV picha zao hazina ubora ni kama Black n white na pia wanatumia Sony D series zile za kawaida kurekodi watafute mnyama Cannone picha yake itakua tofauti..Hata safari tv utata uliopo kule ni ishu za camera maana wana share na chennel fulan mkuu..
Camera kitu kingine
Nafurahi kuona tunapata pongeziAzam Media hana mpinzani wameleta kamera za 4k,seti ya Kamera moja inafikia 500M na pale zilikuwa Kamera zaidi ya Tano....ni balaa.
Azam wakipata kibali cha kuonyesha EPL na Uefa DSTV anakosa wateja.
Wataalam wapo..Million 500 umeirudia sana je wataalamu wanao!