Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ujawahi sikia .Sawa nyie ndio walee hamuonekan Ila mpoo
Nyuma ya camera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujawahi sikia .Sawa nyie ndio walee hamuonekan Ila mpoo
Wee jamaa ni photographer nini..?Safari TV picha zao hazina ubora ni kama Black n white na pia wanatumia Sony D series zile za kawaida kurekodi watafute mnyama Cannone picha yake itakua tofauti..
Umeongea vingi lakini...Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills,
Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi hawashindwi kwenye vifaa vya ardhini ila Kuna mabwenyenye yenye satellite zao ndio mtihani
Frequency yenye kubeba vichannel 3 kwa kiwango Cha SD(mpeg 2) ni zaidi ya 150 million kwa mwaka
Sio kama utasifiwa sawaHata wanunue mitambo ya namna gani. Siwezi kuangalia media zao. Infact siwezi kuangalia media yoyote ya Tanzania iwe Radio au TV wote ni uchafu tu.. Acha niendelee na ABC news, CNN,BBC, FOX , NSBC, DW tv, RT, France 24.
Ngoja tusubirie tuoneTumegoma kula matango pori
Chukua Pesa yote ambayo Tunayo then Toa deni ndo upate Cash ya nchi.. Halafu uje hapa useme hakuna mwenye pesa kuliko serikali.Acha dharau serikali ndo mmiliki wa hela zote
Siku tukikutaitisha tunakurudisha kwenu Rwanda tuInfact siwezi kuangalia media yoyote ya Tanzania iwe Radio au TV wote ni uchafu tu..
Ni kweli mkuu huyo anaongea tuu kama kuchangamsha mada hapa .Chukua Pesa ya nchi yote Toa deni ndo upate Cash ya nchi.. Halafu uje hapa useme hakuna mwenye pesa kuliko serikali.
Usimbishie Huyo ni Tiktok boySiku tukikutaitisha tunakurudisha kwenu Rwanda tu
Wewe Azam shabiki au Azam kivipi?Ila sisi azam tuna pesa mno
Ni miongoni mwa mtu mwenye mchango mkubwa sana hapa upande wa mitambo na urushaji wa vipindiWewe Azam shabiki au Azam kivipi?
Siku tukimtaitisha tunamrudishwa kwao Rwanda hakuna hata magorofa kule akaendelee kuponda vizuri Media za BongoUsimbishie Huyo ni Tiktok boy
Urushaji wa vipindi au Wewe ndio yule Stivu wa Azam?Ni miongoni mwa mtu mwenye mchango mkubwa sana hapa upande wa mitambo na urushaji wa vipindi
Hawajui mamboHalafu watu wanasema kwamba MO anapesa kumzidi Bakhresa maweeeeeeeee!!
Hapana mkuu mimi nipo nyuma ya mitambo....Urushaji wa vipindi au Wewe ndio yule Stivu wa Azam?
Bakhresa anapiga mzigo kimya kimya mwendo wa kuwekeza kidogo kidogoHalafu watu wanasema kwamba MO anapesa kumzidi Bakhresa maweeeeeeeee!!
Wewe ndio Stivu?Hapana mkuu mimi nipo nyuma ya mitambo....
Hata hizo camera walizoleta ikija ishu ya maintenance basi watu kama mimi ndio huwa involved
Ingekuwa rahisi Kila mwenye channel angeweka channel zake iwe 8k kabisa na kurusha matangazo Kwa hd isingekuwa selling pointUmeongea vingi lakini...
Hujui kitu
HAPANAWewe ndio Stivu?