Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mbona bado ht zile camera walizokuwa wanatumia mwanzo ndio bei hy hy, yan hapo n kwamba wameongeza vifaa na sio kwamba n vifaa vipya kwaoMillion 500 umeirudia sana je wataalamu wanao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bado ht zile camera walizokuwa wanatumia mwanzo ndio bei hy hy, yan hapo n kwamba wameongeza vifaa na sio kwamba n vifaa vipya kwaoMillion 500 umeirudia sana je wataalamu wanao!
Hapo sikupingi kabisa mkuu.Ingekuwa rahisi Kila mwenye channel angeweka channel zake iwe 8k kabisa na kurusha matangazo Kwa hd isingekuwa selling point
Alaa basi vyema ili waone magoli ya mchongo vyema!Mbona bado ht zile camera walizokuwa wanatumia mwanzo ndio bei hy hy, yan hapo n kwamba wameongeza vifaa na sio kwamba n vifaa vipya kwao
Hapana mkuu vya nyuma vilikua tofauti...Mbona bado ht zile camera walizokuwa wanatumia mwanzo ndio bei hy hy, yan hapo n kwamba wameongeza vifaa na sio kwamba n vifaa vipya kwao
Kwa bongo hilo rahisi sana!Wataalam wapo..
Sasa wewe uwekeze kwenye vitu kama hivi alafu usiwe na wataalamu huo utakua uchizi
Azam ana channel 8 na zote n HDHiyo ni SD mkuu, na kama ingekuwa rahisi hata yeye channel zake zote angeweka hd
Hd anazo tano tu
Nikutoe shaka tu mkuu..Kwa bongo hilo rahisi sana!
Issue sio camera mkuu..Halafu kuna wazee kazi ITV wakisaidiwa na TBC, wanatumia camera zinazota quality ya picture kama za Tecno pop3
Pongezi kwetuAzam ana channel 8 na zote n HD
Mkuu, kwenye hili wala sina haja ya kumbishia mtu mana mm najijua n nani.Hapana mkuu vya nyuma vilikua tofauti...
Unafanya kazi Azam au muwasho?Pongezi kwetu
VAR ipo na watu tyr wameshaifanyia mazoeziVAR bado ila tuna mpango huo
Ni kweli kabisa hapo tupo pamojaMkuu, kwenye hili wala sina haja ya kumbishia mtu mana mm najijua n nani.
Ila kaa ukijua pale n wameongeza vifaa vipya vyenye ubora zaid ila ndio hizo hizo walizokuwa wanatumia.
Yn zile sio vifaa vipya machoni mwao mana tayar walikuwa wanatumia kama hvy mwanzo, yn n sawa na ww umenunua samsung S23 halafu ukaenda kununua samsung S24.
Sawa sawaVAR ipo na watu tyr wameshaifanyia mazoezi
Seems like Marehem R.Mengi ameondoka na mradi wake, ile creativity imepoteaITV super brandino ndiyo inapotezwa hivyo.
Kiaje mzee?, kama mnatoa mlungula tusiseme?.Yamekushinda?
Muwasho mkuuUnafanya kazi Azam au muwasho?