Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills,
Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi hawashindwi kwenye vifaa vya ardhini ila Kuna mabwenyenye yenye satellite zao ndio mtihani
Frequency yenye kubeba vichannel 3 kwa kiwango Cha SD(mpeg 2) ni zaidi ya 150 million kwa mwaka
Hivi kwa wastani azam anawateja kiasi gani hapa bongo ambao hao wanalipa 25k kwa mwezi, kama wakiwa na wateja milioni 1,. Zidisha na elfu 25, anagonga kiasi gani kwa mwezi, je kwa mwaka? Bakhresa mpaka anafanya haya kaishaona biashara inamlipa SAAAANA.
 
Issue ni Kamera moja kuwa milioni 500?
Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa. Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!

Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500 na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!


Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!

Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.

TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!

 
Azam Media hana mpinzani wameleta kamera za 4k,seti ya Kamera moja inafikia 500M na pale zilikuwa Kamera zaidi ya Tano....ni balaa.
Azam wakipata kibali cha kuonyesha EPL na Uefa DSTV anakosa wateja.
Azam hawezi pata kibali cha kuonyesha EPL.
Alafu kulinganisha Azam na DSTV ni kulinganisha toroli na fuso. Kitendo cha Azam kununua camera tano za milioni 500 each ndio kinaleta headlines na kuonekana maajabu. Sasa kasome Canal+ imeweka dau la kiasi gani kuomba kuinunua DSTV. Zaidi ya trilioni nne za kibongo kununua about 65% ya shares
 
Azam hawezi pata kibali cha kuonyesha EPL.
Alafu kulinganisha Azam na DSTV ni kulinganisha toroli na fuso. Kitendo cha Azam kununua camera tano za milioni 500 each ndio kinaleta headlines na kuonekana maajabu. Sasa kasome Canal+ imeweka dau la kiasi gani kuomba kuinunua DSTV. Zaidi ya trilioni nne za kibongo kununua about 65% ya shares
Naomba nkusahihishe mkuu
Sio kama HAWEZI" ila hiyo ni biashara
Kumbuka biashara inamuhitaji mtumiaji(mwananchi)
Ikiwa mwananchi hawezi hata kulipa 35k itawezazaje kuweza kununua haki ya kurusha EPL?
Kwahyo ni issue ya kibiashara na sio uwezo
Hawezi kununua haki ya kurudha kwa hela nyingi afu ategemee hasara
 
Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills,
Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi hawashindwi kwenye vifaa vya ardhini ila Kuna mabwenyenye yenye satellite zao ndio mtihani
Frequency yenye kubeba vichannel 3 kwa kiwango Cha SD(mpeg 2) ni zaidi ya 150 million kwa mwaka
[emoji23]
 
Naomba nkusahihishe mkuu
Sio kama HAWEZI" ila hiyo ni biashara
Kumbuka biashara inamuhitaji mtumiaji(mwananchi)
Ikiwa mwananchi hawezi hata kulipa 35k itawezazaje kuweza kununua haki ya kurusha EPL?
Kwahyo ni issue ya kibiashara na sio uwezo
Hawezi kununua haki ya kurudha kwa hela nyingi afu ategemee hasara
Ni kweli kabisa mkuu.
Hata mi nimeongea juu hapo
 
Back
Top Bottom