Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwenye nini?Kiaje mzee?, kama mnatoa mlungula tusiseme?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye nini?Kiaje mzee?, kama mnatoa mlungula tusiseme?.
AhahahahaKitu nimependa kwenye clip ni hapo aliposema kamera garama yake ni million 500 na clip ikafika mwisho 😂 😆.
VAR ipo ndugu, ila haitotumika kwenye mechi zoteVAR wameleta? Ili lutokomeza tabia ya club ya Yanga kuhonga marefa?
🤝Muwasho mkuu
Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa. Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!
Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500 na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!
Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!
Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.
TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Ni pesa ya ving'amuzi vya robo wateja tu!Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa. Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!
Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500 na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!
Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!
Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.
TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Kongole kwaoAisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa. Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!
Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500 na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!
Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!
Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.
TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Mbogamboga unaamua tuu kutaka ligi au sio ahahahah..
TumepokeaKongole kwao
DaaahNi pesa ya ving'amuzi vya robo wateja tu!
HD ghalamaITV ya mengi imeshindwa kabisa kuwa na HD😂😂😂
But wanastahili pongezi, wanalipa ligi yetu value kubwa mno na kupaisha jina la TzDaaah
Kabisa mkuu... Wala sio uwongo aiseeeBut wanastahili pongezi, wanalipa ligi yetu value kubwa mno na kupaisha jina la Tz
Imekaa vizuri sana, tusipowapongeza tutakuwa wanafiki kabisa.Kabisa mkuu... Wala sio uwongo aiseee
We Ni fundi manyumba au Fundi mtoto wa Manyumba? 😄Kweli kabisa..
Inaonekana una utaalamu au unajua kuhusu camera.
Camera za wanyama kule porini ndio zinaongoza kwa gharama kutokana na kufanya motion capture graphics
Ahsante sana mkuu zimefika..Imekaa vizuri sana, tusipowapongeza tutakuwa wanafiki kabisa.
Hongera kwa uongozi, CEO, Wakurugenzi Tido Mhando & Patrick Kahemele na all staff members wa Azam Media, bila kimsahau TOP MANYOTA MZEE BHARESA mwenyewe.🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌷🌷🌷🌷💐💐 Chukueni maua yenu
Mkuu fundi manyumba naomba unijuze kwa azam tv dish na antenna je Hd ni ile ile kwa chanel za Azam?Muwasho mkuu
Huyo bakhresa wako wakiamua kumtia umasikini ni dakika tu.Chukua Pesa yote ambayo Tunayo then Toa deni ndo upate Cash ya nchi.. Halafu uje hapa useme hakuna mwenye pesa kuliko serikali.
Sawa ndugu.VAR ipo ndugu, ila haitotumika kwenye mechi zote
Huyo bakhresa wako wakiamua kumtia umasikini ni dakika tu.