Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa.Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!

Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500.

Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!

Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.

TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Jamaa yangu nilitaka nikupige bonge 1 la Neno ovu Ila nikakumbuka Kapeace mtu wangu wa faida alishanisihi sana nisiparangane na vitukuu na vilembwe vya Kambarage Nyerere hivi vitukuu na vilembwe na vilembwekeze havielewi hata vieleweshwe vipi

Ukileta Andiko lenye mashiko mithili ya Habari mzito lazima uisupport na ushahidi km picha, Video na sauti sasa Wewe unatuandikia udaku hivi tunakufikiriaje mtu wangu au unataka utembezewe matusi hizo camera za million 500 zipo Wapi picha ipo Wapi videos zipo Wapi zikionyesha hizo camera na mitambo hio mipya? Mengine sitaki kukuhoji sana maana najua nikikuhoji utabust bure
 
Kweli kabisa..
Inaonekana una utaalamu au unajua kuhusu camera .

Camera za wanyama kule porini ndio zinaongoza kwa gharama kutokana na kufanya motion capture graphics
Camera zina bei kubwa sana na pia ukiweza kupata camera bora ukaweza kupiga picha porini kwa kiwango wanachotaka wao utapata pesa ndio maana kampuni kubwa ndio zinaweza kuuza picha bora.
 
Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa.Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!

Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500.na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!

Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!

Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.

TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
TBC wanachakujifunza
 
League ya bongo ni maarufu lakini kwa kipindi kikubwa imekosa aina hii ya watu.

Makofi kwa boss bora kabisa bongo,akifuatiwa na GSM kasoro boss mmoja wa kuchora🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃
 
Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa.Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!

Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500.na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!

Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!

Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.

TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Bakhresa yuko vizuri kajaliwa na kila kitu. Ila ajitahidi tu kwenye USAWA wote sisi ni watanzania.

adriz Sol de Mayo Webabu Adiosamigo
 
Media ya kipuuzi mno. MNO

Sijui wanashindaje superbrand

Watakalishwa tu

Ubora wa picha haubadiliki toka nipo mdogo

Jamaa yangu nilitaka nikupige bonge 1 la Neno ovu Ila nikakumbuka Kapeace mtu wangu wa faida alishanisihi sana nisiparangane na vitukuu na vilembwe vya Kambarage Nyerere hivi vitukuu na vilembwe na vilembwekeze havielewi hata vieleweshwe vipi

Ukileta Andiko lenye mashiko mithili ya Habari mzito lazima uisupport na ushahidi km picha, Video na sauti sasa Wewe unatuandikia udaku hivi tunakufikiriaje mtu wangu au unataka utembezewe matusi hizo camera za million 500 zipo Wapi picha ipo Wapi videos zipo Wapi zikionyesha hizo camera na mitambo hio mipya? Mengine sitaki kukuhoji sana maana najua nikikuhoji utabust bure
Angalia Azam sport 1 hd au UTV wako mubashara mugeni rasmi ni Kaphone MJ.
 
Back
Top Bottom