Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
VAR bado ila tuna mpango huoWameleta!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VAR bado ila tuna mpango huoWameleta!!
Jamaa yangu nilitaka nikupige bonge 1 la Neno ovu Ila nikakumbuka Kapeace mtu wangu wa faida alishanisihi sana nisiparangane na vitukuu na vilembwe vya Kambarage Nyerere hivi vitukuu na vilembwe na vilembwekeze havielewi hata vieleweshwe vipiAisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa.Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!
Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500.
Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!
Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.
TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Arajiga akikomba kibunda cha GSM, hatasumbuka kwenda kuona VAR imeona nini...."The power of Kibunda"....Wameleta!!
Picha za hio mitambo zipo Wapi?Wameleta!!
Camera zina bei kubwa sana na pia ukiweza kupata camera bora ukaweza kupiga picha porini kwa kiwango wanachotaka wao utapata pesa ndio maana kampuni kubwa ndio zinaweza kuuza picha bora.Kweli kabisa..
Inaonekana una utaalamu au unajua kuhusu camera .
Camera za wanyama kule porini ndio zinaongoza kwa gharama kutokana na kufanya motion capture graphics
TBC wanachakujifunzaAisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa.Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!
Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500.na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!
Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!
Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.
TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Hata safari tv utata uliopo kule ni ishu za camera maana wana share na chennel fulan mkuu..Camera zina bei kubwa sana na pia ukiweza kupata camera bora ukaweza kupiga picha porini kwa kiwango wanachotaka wao utapata pesa ndio maana kampuni kubwa ndio zinaweza kuuza picha bora.
Wanajali sasa .TBC wanachakujifunza
Kazi ipo 🤔Si hapa nchini. Hakuna mwenye pesa kuliko Serikali kupitia raia wake.
Media ya kipuuzi mno. MNOITV super brandino ndiyo inapotezwa hivyo.
Sasa kama washindani ni TBC na Channel 10 ulitaka ITV wasishinde🤣🤣🤣Media ya kipuuzi mno. MNO
Sijui wanashindaje superbrand
Watakalishwa tu
Ubora wa picha haubadiliki toka nipo mdogo
Bakhresa yuko vizuri kajaliwa na kila kitu. Ila ajitahidi tu kwenye USAWA wote sisi ni watanzania.Aisee nimeangalia uwekezaji wa Azam TV kwa kununua mitambo mipya ya mabilioni ya pesa.Duuuh kuna media zina pesa wallah....Mabilioni ya pesa hapo yametumika!!
Hawa watu wamejipanga kweli, nimeona tu kamera moja ya ubora wa kimataifa kama zile wanazotumia huko Hollywood nk ni milioni 500.na hapo wamenunua kamera kibao ambayo kila moja ni milioni 500!!
Hapo hujaweka mitambo mingine ya kisasa, VAR etc.
Mitambo ya VAR wamezindua!
Azam wanatumia pesa kuwekeza ndo maana wanapata kila wanachokitaka. Wameweza kufanya channel zao zote kuwa HD sio kazi rahisi. Hawa wanatakiwa waje na laini za simu sasa.
TV nyingine na media za kibongo nyingine wana la kujifunza kwa Azam!!
Acha dharau serikali ndo mmiliki wa hela zoteKuna mijitu inapesa kuliko Serikali asee.
Acha udini weweekwa nn hiyo tenda hawajapewa wakina Benjamini Netanyahu ?
Media ya kipuuzi mno. MNO
Sijui wanashindaje superbrand
Watakalishwa tu
Ubora wa picha haubadiliki toka nipo mdogo
Angalia Azam sport 1 hd au UTV wako mubashara mugeni rasmi ni Kaphone MJ.Jamaa yangu nilitaka nikupige bonge 1 la Neno ovu Ila nikakumbuka Kapeace mtu wangu wa faida alishanisihi sana nisiparangane na vitukuu na vilembwe vya Kambarage Nyerere hivi vitukuu na vilembwe na vilembwekeze havielewi hata vieleweshwe vipi
Ukileta Andiko lenye mashiko mithili ya Habari mzito lazima uisupport na ushahidi km picha, Video na sauti sasa Wewe unatuandikia udaku hivi tunakufikiriaje mtu wangu au unataka utembezewe matusi hizo camera za million 500 zipo Wapi picha ipo Wapi videos zipo Wapi zikionyesha hizo camera na mitambo hio mipya? Mengine sitaki kukuhoji sana maana najua nikikuhoji utabust bure
Mwanaume unaomba kupewa 'vitu vizuri'?😡😡🤬🤬🤬Na wazidi kutupa vitu vizuri
mshamba mwingine online tv.Media ya kipuuzi mno. MNO
Sijui wanashindaje superbrand
Watakalishwa tu
Ubora wa picha haubadiliki toka nipo mdogo