Lazima uwe na kobazi tuNimejitahidi kutafuta ajira za Azam ila sioni popote kama kuna matangazo yao ya ajora, naona wapo tofauti kidogo na METL. Kwa ambae anajua kama Azam anatoa nafasi za ajira anisaidie niangalie kama kuna nafasi.
Ndio, warabu na wahindi wapo hivo, hata kwa MO usidhani kila kazi anatangaza.😂😂sasa kazi zote watafanya wao
Mo ujue mpaka ana recruitment yake, na anatoa ajira kwa watu tofauti tofauti hata interview anafanya japo nafasi zake ni chache ila unaona matangazo yake ya kutoa ajira na kutaka wafanya kazi ila kwa Azam ni tofauti yani huoni hata wakisema wanataka wafanya kaziNdio,warabu na wahindi wapo hivo,hata kwa MO usidhani kila kazi anatangaza
Nawajua watu wameishia form 4 na wanakula utawala ofisi za warabu wenzao
😂Kuna siku nikiwa form 4 niliwahi kwenda msikitini bana kupiga msosi afu mimi christian,hii ilikuwa kawaida yetu maana nimesoma islamic seminaryUwe unasema "Mwanyazi"
😂Huenda bado anaemploy ndugu zake kwanza,kumbuka Azam ni investment ya billions,lazima aweke ndugu zake wa Za'zibar kwanza,sisi weusi kama pua ya mbwa tusubiriMo ujue mpaka ana recruitment yake, na anatoa ajira kwa watu tofauti tofauti hata interview anafanya japo nafasi zake ni chache ila unaona matangazo yake ya kutoa ajira na kutaka wafanya kazi ila kwa Azam ni tofauti yani huoni hata wakisema wanataka wafanya kazi
Issue sio hiyo swala hapa ni kwamba kampuni ina nyanja kibao na kila nyanja lazim wakae watu huwezi weka ndugu kila sehemu sasa hata kama anaweka ndugu ndio hata matangazo ya ajira tusione😂😂😂Huenda bado anaemploy ndugu zake kwanza,kumbuka Azam ni investment ya billions,lazima aweke ndugu zake wa Za'zibar kwanza,sisi weusi kama pua ya mbwa tusubiri
Islamic seminary alafu wahindi tena?😂Kuna siku nikiwa form 4 niliwahi kwenda msikitini bana kupiga msosi afu mimi christian,hii ilikuwa kawaida yetu maana nimesoma islamic seminary
Sasa hiyo siku bwana wameshamaliza kuswali pale, ghafla wakata wahindi na jeneza na mapanga huku wanaimba kwa shari🤣 tulijua ile siku tunakufa,jeneza wamebeba begani,walipofika wakaweka chini kumbe ni utaratibu wao wa kawaida tu
Kaka warabu huwajui😂,nasemaje, kila sehemu watakaa ndugu wa damu alafu baadaye wanafuata ndugu wa imaaani mpaka hapo nafasi zimeisha si ndio maana huoni TangazoIssue sio hiyo swala hapa ni kwamba kampuni ina nyanja kibao na kila nyanja lazim wakae watu huwezi weka ndugu kila sehemu sasa hata kama anaweka ndugu ndio hata matangazo ya ajira tusione😂😂
Serious, huo msikiti haupo ndani ya shule,ni pale kigoma mjini kuna msikiti fulani wanaswali sana wahindi, hii kitu ipo huwa wanabeba hayo mapanga kumkumbuka mtu fulani kwenye dini yao sijui anaitwa nani nimesahau kwa sasa ,aliuliwa kwa mapangaIslamic seminary alafu wahindi tena?
Na mapanga seriously?