Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

Fika na baibui au kanzu makao makuu huwezi kosa kazi
Nimejitahidi kutafuta ajira za Azam ila sioni popote kama kuna matangazo yao ya ajira, naona wapo tofauti kidogo na METL. Kwa ambaye anajua kama Azam anatoa nafasi za ajira anisaidie niangalie kama kuna nafasi.

Swali: 1. Je, unapeleka cv ofisi zao? Na kama unapeleka je ofisi zao ziko wapi?

2. Je, kwanini hatuoni poster zao wala matangazo kwenye recruitment za ajira?
 
Mara nyingi wanachukua wanafunzi ambao wamewahi kufanya field kwao kuna jamaa alifanya field pale AZAM alipomaliza akapata mchongo akaitwa kazini yupo mpaka leo sio yeye tu wapo wengi.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Ila wabongo tukikosa kazi mahali huwa tunakua na visingizio vingi sana.

Tukianza na huyo azam mbona nawajua watu wengi tu ambao hata sio waislamu wako kwenye idara nyeti tu hapo azam.

Huko kwa MO haipiti week hujaona tangazo lao la kazi, tena mo ana mpaka recruitment portal yake kabisa.
Tuache kuchafua watu.
 
Back
Top Bottom