Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

Azam wanatumia njia gani kuajiri wafanyakazi?

Watu wakorofi kweli humu [emoji23].

Eti uvae kanzu [emoji23].

Sasa kwenye Interview ukiulizwa swali la kidini utaweza kweli mkuu [emoji23] [emoji23].
 
Serious, huo msikiti haupo ndani ya shule,ni pale kigoma mjini kuna msikiti fulani wanaswali sana wahindi, hii kitu ipo huwa wanabeba hayo mapanga kumkumbuka mtu fulani kwenye dini yao sijui anaitwa nani nimesahau kwa sasa ,aliuliwa kwa mapanga

Shi’a Jamaat!

Wako na shule Arusha,Pwani(Kibaha) na Kigoma.
 
Kaka warabu huwajui😂,nasemaje, kila sehemu watakaa ndugu wa damu alafu baadaye wanafuata ndugu wa imaaani mpaka hapo nafasi zimeisha si ndio maana huoni Tangazo
Azam wanzengua sana😄😄au ndio wana overload wafanyakazi, wanakua wanataka versatile
 
[emoji23]Kuna siku nikiwa form 4 niliwahi kwenda msikitini bana kupiga msosi afu mimi christian,hii ilikuwa kawaida yetu maana nimesoma islamic seminary

Sasa hiyo siku bwana wameshamaliza kuswali pale, ghafla wakata wahindi na jeneza na mapanga huku wanaimba kwa shari[emoji1787] tulijua ile siku tunakufa,jeneza wamebeba begani,walipofika wakaweka chini kumbe ni utaratibu wao wa kawaida tu
Chai
 
Kwa ushauri uliopewa huwezi kupata kazi Azam Jiajiri kwa kufungua kanisa kule ipo hela ya kutosha zaidi
 
Serious, huo msikiti haupo ndani ya shule,ni pale kigoma mjini kuna msikiti fulani wanaswali sana wahindi, hii kitu ipo huwa wanabeba hayo mapanga kumkumbuka mtu fulani kwenye dini yao sijui anaitwa nani nimesahau kwa sasa ,aliuliwa kwa mapanga
Shia hao wanajikata kata kabisa
Wale sio waislamu ni miongoni mwa waliokufuru tu
 
Back
Top Bottom