Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Serious, huo msikiti haupo ndani ya shule,ni pale kigoma mjini kuna msikiti fulani wanaswali sana wahindi, hii kitu ipo huwa wanabeba hayo mapanga kumkumbuka mtu fulani kwenye dini yao sijui anaitwa nani nimesahau kwa sasa ,aliuliwa kwa mapanga
Naam ndioShi’a Jamaat!
Wako na shule Arusha,Pwani(Kibaha) na Kigoma.
Dah ila watuUsiende na viatu hapo.
Chai[emoji23]Kuna siku nikiwa form 4 niliwahi kwenda msikitini bana kupiga msosi afu mimi christian,hii ilikuwa kawaida yetu maana nimesoma islamic seminary
Sasa hiyo siku bwana wameshamaliza kuswali pale, ghafla wakata wahindi na jeneza na mapanga huku wanaimba kwa shari[emoji1787] tulijua ile siku tunakufa,jeneza wamebeba begani,walipofika wakaweka chini kumbe ni utaratibu wao wa kawaida tu
Kunywa MkuuChai
Asee Manchester united tayari imepigwa 2-0 na leeds.Kwa ushauri uliopewa huwezi kupata kazi Azam Jiajiri kwa kufungua kanisa kule ipo hela ya kutosha zaidi
2-2Asee Manchester united tayari imepigwa 2-0 na leeds.
Na wateja wao wa bidhaa ni wa jamii gani???Principle inayotumika hapo ni ""Who knows you""
Mbumbumbu , mazuzusisisi , bongolalaliiii , **** ongezeaNa wateja wao wa bidhaa ni wa jamii gani???
Aisee! Nimecheka sana!Uwe unasema "Mwanyazi"
Shia hao wanajikata kata kabisaSerious, huo msikiti haupo ndani ya shule,ni pale kigoma mjini kuna msikiti fulani wanaswali sana wahindi, hii kitu ipo huwa wanabeba hayo mapanga kumkumbuka mtu fulani kwenye dini yao sijui anaitwa nani nimesahau kwa sasa ,aliuliwa kwa mapanga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amiii[emoji3], chake chake yahee,bin mtoto wa dada
TakbiiirAmiii😀, chake chake yahee,bin mtoto wa dada