Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
🤣Ntaacha leo,afu nimekumiss[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ifike mahali uache ujinga..
Unakua sasa...
Nimekumiss pia Dogo lake..[emoji1787]Ntaacha leo,afu nimekumiss
Nimejitahidi kutafuta ajira za Azam ila sioni popote kama kuna matangazo yao ya ajira, naona wapo tofauti kidogo na METL. Kwa ambaye anajua kama Azam anatoa nafasi za ajira anisaidie niangalie kama kuna nafasi.
Swali: 1. Je, unapeleka cv ofisi zao? Na kama unapeleka je ofisi zao ziko wapi?
2. Je, kwanini hatuoni poster zao wala matangazo kwenye recruitment za ajira?
[emoji3]Uwe unasema "Mwanyazi"