AzamTv wametudanganya kuhusu kuonesha michuano ya Euro

AzamTv wametudanganya kuhusu kuonesha michuano ya Euro

Mh mkuu, em tufanye ww ndio unatoa kibali.

Anakuja Azam anatoa 50B anaonyesha mechi zote.
Anakuja dstv anatoa 50B anaonyesha mechi za Simba na Yanga tuu.

Wewe utampa kibali nani?
Oohh nilikuwa sijaelewa, kumbe kibali lazima apewe mmoja tu, haiwezekani kupewa wote wawili
 
AzamTv walitangaza kwa mbwembwe watarusha michuano ya Uefa Euro. Cha kushangaza jana hamna mechi waliyoonyesha.

Na leo mpaka sasa hakuna mechi wameonyesha. Nawauliza nyie Azam Tv utapeli mtaacha lini?

Au Euro ishaisha??

Anyway, imebidi nilipie DStv tu
Mbona Mimi nangalia hapa kupitia Zbc2 Live Serbia na England
 
Sasa mbona nina kufurushi cha zaidi ya elfu kumi, ila kwenye hiyo channel huwa sioni hizo mechi live, bali zinaoneshwa kama marudio tu
Mkuu sasa naangalia live mechi ya England na Serbia, pia mechi ya Poland na Netherlands nimeingalia live jioni.
 
Mtoa mada sikia hii.
1. Dstv ni mpira
2. Azam ni maigizo ya kitanzania
3. Startimes wahindi wengi sana
Umesahau dstv ni mpira na movies za wazungu, by the way kwenye kila kisimbuzi kuna vyote hivyo, ni wewe tu kujua channels husika
 
Oohh nilikuwa sijaelewa, kumbe kibali lazima apewe mmoja tu, haiwezekani kupewa wote wawili
Hapa bongo Sijajua utaratibu wao, ila England kwenye EPL Kuna makampuni kama matano hv ndio wanafanya production.
 
AzamTv walitangaza kwa mbwembwe watarusha michuano ya Uefa Euro. Cha kushangaza jana hamna mechi waliyoonyesha.

Na leo mpaka sasa hakuna mechi wameonyesha. Nawauliza nyie Azam Tv utapeli mtaacha lini?

Au Euro ishaisha??

Anyway, imebidi nilipie DStv tu
Dstv kifurushi cha elfu 25000 tu unaenjoy
 
Mechi moja ya saa 4 wameonesha sasa hata ratiba yao haieleweki
 
Back
Top Bottom