Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mechi ziko live ZBC2 ambayo ipo kwenye decoder ya Azam. Au lazima uzione Azam sports?AzamTv walitangaza kwa mbwembwe watarusha michuano ya Uefa Euro. Cha kushangaza jana hamna mechi waliyoonyesha.
Na leo mpaka sasa hakuna mechi wameonyesha. Nawauliza nyie Azam Tv utapeli mtaacha lini?
Au Euro ishaisha??
Anyway, imebidi nilipie DStv tu
Duuh mkuu naona tunashindwa kuelewana, mimi hiyo channel sijaanza kuiangalia juzi wala jana, namaanisha hata kipindi cha huo msimu wa epl na uefa hizo mechi sikuwahi kuona zikioneshwa zaidi ya marudio tuSasa mkuu Epl na Uefa msimu umekwisha unataka waonyeshe nini!?
Tangu lini mkuu kila mechi nachungulia sioni au ving'amuzi vya dish vinatofautiana.Mbona mechi ziko live ZBC2 ambayo ipo kwenye decoder ya Azam. Au lazima uzione Azam sports?
Huwa unatazama Everton Vs Norwich? Au Parma Vs Empoli? Basi zote zinaoneshwa tu.Sasa kuna shida gani akirusha mechi za simba na yanga tu, na kuna ulazima gani wa kurusha mechi ndogo ambazo hazina watazamaji wengi, au sheria ndio zinataka hivyo kwamba ukichagua ligi fulani basi ni lazima urushe mechi zote za hiyo ligi
Sijui ni kwanini sehemu nyingine wamewapa rights TV za kulipia kama DSTV. Europe haya mashindano yanaonyeshwa kwenye TV za bure kama kombe la dunia linavyoonyeshwa. Taznania hii michuano ilitakiwa kuonyeshwa na TV ya Taifa.Duuh kumbe dstv kifurushi cha elfu kumi tu, mnaangalia mechi za ulaya na hamsemi, ni channel gani hiyo
Kifurushi gani hiki mkuu cha ten?Mkuu Hamia DSTV tena kwa gharama nafuu kabisa ya Tsh elfu Kumi tuu unatazama mechi zote 54 LIVE HD
Oohh nimekuelewa mkuu ila swali langu ni kwamba kwanini wasiwaruhusu wote dstv na azam kuonesha hizo mechi kwa kadiri kila mmoja anavyotaka, halafu wangeacha wateja wenyewe ndio wachague kwani cha muhimu si ni kodi tu au, ndio nikauliza au sheria za bongo haziruhusu kisimbuzi zaidi ya kimoja kurusha mechi za ligi ya hapaHuwa unatazama Everton Vs Norwich? Au Parma Vs Empoli? Basi zote zinaoneshwa tu.
Kuangalia Simba na Yanga matokeo yake siku wakipigwa na Prisons mashabiki wanakua kama wehu hawaamini. Ila kwa mpenzi wa soka anaepata kuwatazama hata mara moja moja hashtushwi na matokeo ya aina hiyo.
Kingine inasaidia kuzitangaza timu nyingine kitaifa na kimataifa. Hapo Kenya saizi hadi Mtibwa Sugar wanawajua.
Mkuu ngozi nyeusi tuna shida sana, hapo unakuta ndio hivyo kulindiana maslahi tu, ili serikali ipate kodiSijui ni kwanini sehemu nyingine wamewapa rights TV za kulipia kama DSTV. Europe haya mashindano yanaonyeshwa kwenye TV za bure kama kombe la dunia linavyoonyeshwa. Taznania hii michuano ilitakiwa kuonyeshwa na TV ya Taifa.
Hawaoneshi zote mkuu. Wanachagua mechi.Mbona mechi ziko live ZBC2 ambayo ipo kwenye decoder ya Azam. Au lazima uzione Azam sports?
Wacha uongo dogo.nawashangaa sana watu wanaotumia azam tv kwanza hakuna kitu sipendi kama maigizo yaliotafsiriwa.... tumieni dstv mbali na hapo bora uweke bundle lako uzame jf
Huko Dstv quality yao ya matangazo iko poorMkuu Hamia DSTV tena kwa gharama nafuu kabisa ya Tsh elfu Kumi tuu unatazama mechi zote 54 LIVE HD kwa
DSTV leseni ni Dola mil 600 kwa msimu...yale ni maji marefu mkuu....watu hawajiulizi kwanini Middle East yote na Pesa yao ya mafuta ni BEIN sports pekee ndiyo wanaonesha Premier League na UEFA champions league....
upi huo au kuna kitu kinakusumbuaWacha uongo dogo.
OkHawaoneshi zote mkuu. Wanachagua mechi.
Vp unaangalia hii mechi ya Uturuki hapo ZBC2Mbona mechi ziko live ZBC2 ambayo ipo kwenye decoder ya Azam. Au lazima uzione Azam sports?