Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Nani kakudanganya? Nipe nchi walau moja inakoonyeshwa kupita FTASijui ni kwanini sehemu nyingine wamewapa rights TV za kulipia kama DSTV. Europe haya mashindano yanaonyeshwa kwenye TV za bure kama kombe la dunia linavyoonyeshwa. Taznania hii michuano ilitakiwa kuonyeshwa na TV ya Taifa.