Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kwa mana wao ni kiungo cha njee tu ndio manaa wanaruhusu free chanels za kwenuHivi kwanini dstv hawaruhusiwi kuonesha ligi ya bongo, maana kila nikiuliza hili swali napewa jibu la kusikitisha sana, kuna sababu yoyote ya msingi inayofanya dstv wakwame kwenye hilo mkuu
AahaaaNa waphilipino hadi unawakariri wachezaji movie
Oohh nilikuwa sijaelewa, kumbe kibali lazima apewe mmoja tu, haiwezekani kupewa wote wawiliMh mkuu, em tufanye ww ndio unatoa kibali.
Anakuja Azam anatoa 50B anaonyesha mechi zote.
Anakuja dstv anatoa 50B anaonyesha mechi za Simba na Yanga tuu.
Wewe utampa kibali nani?
Sasa mbona nina kufurushi cha zaidi ya elfu kumi, ila kwenye hiyo channel huwa sioni hizo mechi live, bali zinaoneshwa kama marudio tu
Mbona Mimi nangalia hapa kupitia Zbc2 Live Serbia na EnglandAzamTv walitangaza kwa mbwembwe watarusha michuano ya Uefa Euro. Cha kushangaza jana hamna mechi waliyoonyesha.
Na leo mpaka sasa hakuna mechi wameonyesha. Nawauliza nyie Azam Tv utapeli mtaacha lini?
Au Euro ishaisha??
Anyway, imebidi nilipie DStv tu
Chaneli no 225Duuh kumbe dstv kifurushi cha elfu kumi tu, mnaangalia mechi za ulaya na hamsemi, ni channel gani hiyo
Mkuu sasa naangalia live mechi ya England na Serbia, pia mechi ya Poland na Netherlands nimeingalia live jioni.Sasa mbona nina kufurushi cha zaidi ya elfu kumi, ila kwenye hiyo channel huwa sioni hizo mechi live, bali zinaoneshwa kama marudio tu
Umesahau dstv ni mpira na movies za wazungu, by the way kwenye kila kisimbuzi kuna vyote hivyo, ni wewe tu kujua channels husikaMtoa mada sikia hii.
1. Dstv ni mpira
2. Azam ni maigizo ya kitanzania
3. Startimes wahindi wengi sana
Mkuu namaanisha live matches za epl na uefa nazoMkuu sasa naangalia live mechi ya England na Serbia, pia mechi ya Poland na Netherlands nimeingalia live jioni.
Hapa bongo Sijajua utaratibu wao, ila England kwenye EPL Kuna makampuni kama matano hv ndio wanafanya production.Oohh nilikuwa sijaelewa, kumbe kibali lazima apewe mmoja tu, haiwezekani kupewa wote wawili
Sasa mkuu Epl na Uefa msimu umekwisha unataka waonyeshe nini!?Mkuu namaanisha live matches za epl na uefa nazo
Free channels bongo Ni TBC tuu baadae wakaongeza ITV, EATV, channel 10, clouds.Kwa mana wao ni kiungo cha njee tu ndio manaa wanaruhusu free chanels za kwenu
Dstv kifurushi cha elfu 25000 tu unaenjoyAzamTv walitangaza kwa mbwembwe watarusha michuano ya Uefa Euro. Cha kushangaza jana hamna mechi waliyoonyesha.
Na leo mpaka sasa hakuna mechi wameonyesha. Nawauliza nyie Azam Tv utapeli mtaacha lini?
Au Euro ishaisha??
Anyway, imebidi nilipie DStv tu
Umesoma vizuri au umekuja huku unakimbia?Mbona Mimi nangalia hapa kupitia Zbc2 Live Serbia na England
Siku azam akipata right za kurusha epl itakua ghali kuliko dstvNgoja waje wale wafia Azam na msemo wao “Azam Tv akipata tu haki ya kurusha EPL bai bai Dstv”🤣
Sasa Azam kama Euro anashindwa kuonesha hiyo EPL sijui itakuaje?
Huu ndio ukweli mkuu…Siku azam akipata right za kurusha epl itakua ghali kuliko dstv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao kitimoto sitak hata kuwasikia nimemtimua demu wangu kisa euro afu hawaonyeshi
Tutapigwa 2 in 1 😂Siku azam akipata right za kurusha epl itakua ghali kuliko dstv