AzamTv wametudanganya kuhusu kuonesha michuano ya Euro

Sijui ni kwanini sehemu nyingine wamewapa rights TV za kulipia kama DSTV. Europe haya mashindano yanaonyeshwa kwenye TV za bure kama kombe la dunia linavyoonyeshwa. Taznania hii michuano ilitakiwa kuonyeshwa na TV ya Taifa.
Nani kakudanganya? Nipe nchi walau moja inakoonyeshwa kupita FTA
 
Azam walijinasibu kuonyesha michuano hii kupitia channel yao mwenza ya ZBC2 Wema unaoendelea. Lakini wamekuwa wakichagua aina za game za kuonyesha nq kuacha mechi muhimu.

Nilishwahi kuandika uzi humu kuwa Azam ni wasanii,
 
Kama ni mpenz wa mpira inabidi tu uwe na azam na dstv, hakuna namna ndugu
 
Wanadai kibali walipewa cha mechi 12 tu, angalia mechi za mwisho mwisho tarehe 20, 21, 22, 23 na 24.
 
Sio mara ya kwanza kufanya hivi. Kiwanda kikishakuwa na waswahili wengi ni shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…