Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Daah hii secta ni ya hovyo bila msaada wa Mungu huwezi acha just pray to God he will bring you the power of roho mtakatifu atakusaidia for sure
Kweli kabisa mkuu ni mtihani mkubwa Sana WA Karne hii,kwasababu kupata hayo mapicha ni rahisi Sana ni kuclick Tu,tofauti na zamani haikuwa rahisi kihivyo.

Nimeona ushuhuda WA baadhi y watu walipambana kuacha lkn baadae wakajikuta wamerudi tena, hakika ni kuazimia huku ukitaka msaada wa Mungu
 
Hapana Kaka hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Usiseme ngumu kama hujapambana mpaka mwisho wa jitihada zako zote, Kwanza Anza kuzichukia na zione ni adui kwako na maisha yako.

Pili tafuta namna ya kuhakikisha unazikwepa kwa namna yoyote Ile,kuna app nadhan ambazo zipo kukuwezesha kwanza usipate access ya Kuangalia hizo video, fanya hivyo block vyanzo vyote ambavyo vina kuwezesha kuangalia hizo video.

Ukiwa Peke yako hakikisha unajishughulisha na jambo lingine au kuangalia kitu kingine ili mradi usishawishike kuangalia hizo video
 
Nimemaliza kutizama movie ya kuitwa Pirates, movie imejaa ngono mwanzo mwisho
Hiyo nayo ni mitihani mingine,hizo zote nazo ni mojawapo ya vichochezi vya kuangalia picha chafu.

Mkuu kama kweli unataka kukwepa hayo madudu jiweke mbali na picha ambazo ngono zipo kwa sana
 
Unaazimia kuacha kuangalia ile unaingia Twitter unakutana na thread za watoto wameshalala, ukienda insta unakuta mademu wanatwerk, ukienda Telegram unakutana na group au channels za pisi kali.
Basi unasema unazima data jirani yako anakutega makusudi tu. Au umelala usiku unasikia chumba cha jirani mwanachuo kaleta demu.

Mradi tu na wewe ufanye dhambi zisizo za lazima

Kweli kabis Yani hakika shetani yupo kazini kweli kweli kila Kona yupo kuhakikisha hatuchomoki.

Kama twitter now umekuwa mtanadao WA ovyo Sana,Yani hata kuperuzi mbel za watu unaogopa kwasababu Mda wowote waeza kukutana na picha chafu.

Kuna hao WA watoto wamelala nao ni balaa Tu au wall paper thread ni balaa, Mimi huzipitia mbali kabisa kwasababu ukisema ufungue uzi Tu ndo Yale Yale ya kuanza kuangali picha chafu.

Hali ni mbaya Sana Shetani mtu kazi yupo kazini
 
Kuna washikaji walikuwa wanaambiana khs porn fulani walioiangalia kwa wakati tofauti, sasa wanavoambiana utadhani ni movie flani hv
Mkuu we Acha kuna watu wanachambua hizo video kama wanavyochambua mpira.

Na

Wengine wanawajua hao wacheza filamu utafikiri kama wanavyowajua wachezaji WA Simba au Yanga, wanakutajia na majina kabisa mkuu

Ni hatar na nusu
 
Kuacha kuangalia video za ngono na kupiga nyeto Ni shughuli pevu Sana.

Punyeto ndio balaa lenyewe Sasa yaani kuacha hii labda ufe tu jamani.
No bro unaweza Acha kabisa mkuu
Kwanza ukianza kujua madhara ya punyeto hapo baadae hakika utajitahidi kujiweka mbali na hayo mambo.

Ebu jiulize baadae ndo unaingia katika ndoa halafu madhara yake ndo yanajitokeza we unafikir inakuwaje, unaaza kushindwa kupiga show ya kibabe na kupiga moja Tu chali je unafikir hautaweza kusaidiwa kazi na wadau?

Au ndo mashine haisimami kabisa au inasimama lkn ikiingia ndani ya papuchi Tu imelala je utajisikiaje? Na mwenza wako atakuonaje, je umeshawaza ataweza kukuvumilia kwa mda gani?

Halafu ukiangalia matatizo hayo ulijisababishia wewe mwenyewe, je utakuwa guilt kiasi gani.

Say no to punyeto trust me inawezekana
 
Nyeto nishaishinda...

Ila porn sitaacha kamwe...
Ninachokiona kutoka kwako ni kwamba unaweza kuacha Kuangalia,kama umeweza kuacha nyeto huku unaangali porn basi hata kuacha porn unaweza


Labda umeamua kuchagua Maisha ya Kuangalia porn tu,Ila trust me bro baada ya Mda fulani utaona madhara yake.

Mungu akusaidie
 
Ninachokiona kutoka kwako ni kwamba unaweza kuacha Kuangalia,kama umeweza kuacha nyeto huku unaangali porn basi hata kuacha porn unaweza


Labda umeamua kuchagua Maisha ya Kuangalia porn tu,Ila trust me bro baada ya Mda fulani utaona madhara yake.

Mungu akusaidie
Siangalii routinely kama zamani, but occassionaly nachungulia mikito ya hapa na pale...

Ukitaka uache nyeto basi lazima uwe na uhakika na pa kukojolea..
 
Kweli kabisa mkuu ni mtihani mkubwa Sana WA Karne hii,kwasababu kupata hayo mapicha ni rahisi Sana ni kuclick Tu,tofauti na zamani haikuwa rahisi kihivyo.

Nimeona ushuhuda WA baadhi y watu walipambana kuacha lkn baadae wakajikuta wamerudi tena, hakika ni kuazimia huku ukitaka msaada wa Mungu
Hakika tuombe Mungu atuepushe na hii kitu katika jamii zetu
 
Back
Top Bottom