Halafu kuna watu na akili zao timamu wanasimama kutetea.... utafikiri wanamjua na wanania naye njema..Waweke azimio la kukomesha mauaji ya watu weusi haya ya kwetu hayawahusu.
Ushindi kwa JPM 2020-2025 ni lazima hapa ni suala la muda tuu.
Wanajidanganya U.S.A ni nchi huru kama ilivyo Tanzania na hakuna siku Tanzania itawapangia Marekani nini cha kufanya na pia hivyo hivyo kwa Marekani haipaswi kutupangia nini cha kufanya.Halafu kuna watu na akili zao timamu wanasimama kutetea.... utafikiri wanamjua na wanania naye njema..
Kuna wenzetu watakuwa wamerogwa pabaya.. kwenye ubongo. Kama sio utahira unawasumbua.
House of representative ...ndio imekuwa nongwa.. Mungu Atusimamie
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
My Sunday is fucked upYou cheer for USA who call (proudly) your Men "Wanaume"..plus
You love throwing crazy allegations lightly..
Either you must be partaking into "Gay Business" and/or perhaps you are low-key advertising yourself....I don't care, or give an F.. just don't be quoting with your businesses.
And just shut the hell up and move up north ..so you can go out of that closet! And Just be yourself!
No pun intended.. am just giving you a peace of my mind, Go to America and be yourself.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Being multiply quoted by a gay, I am looking into this scenario disdainful, my eyes lite with murderous intent,I better get to one of my favourite Bar here and have some beers to calm down
I told you Do Not Quote me in you fvcked up businesses... You wanna go drown yourself, get hit by a car.. I don't give a shooting crap...Being multiply quoted by a gay, I am looking into this scenario disdainful, my eyes lite with murderous intent,I better get to one of my favourite Bar here and have some beers to calm down
Mlinzi wa Dunia hapangiwi akiamua kuja kutuchunguza hakuna cha kumzuia Mku kumbuka Sudani ya Al Bashiri na Saddam waliingia na kuwachunguza. Washindwa je kwetu Tanzania japo sio vizuriWanajidanganya U.S.A ni nchi huru kama ilivyo Tanzania na hakuna siku Tanzania itawapangia Marekani nini cha kufanya na pia hivyo hivyo kwa Marekani haipaswi kutupangia nini cha kufanya.
Mlinzi wa Dunia ni Mungu wewe Kihiyo..akamchunguze Mrusi basi yeye mwenyewe alilialia Urusi kaingilia uchaguzi wake na kama anaweza akamtoe Assad pale Syria mbona anarukaruka.Mlinzi wa Dunia hapangiwi akiamua kuja kutuchunguza hakuna cha kumzuia Mku kumbuka Sudani ya Al Bashiri na Saddam waliingia na kuwachunguza. Washindwa je kwetu Tanzania japo sio vizuri
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Chadema, nenda kamuulize Mlevi wa konyagi.Nani Kamteka na Kumuua Ben Saanane ?
Lissu alimiminiwa risasi na nani ?
Siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati, niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga". Dkt.MagufuliKweli maisha yanaenda kasi sana Sikuhizi kuweka taa za barabarani nayo ni sera ambayo chama fulani kinajivunia na kutembea kifua mbele Watu hawana AJIRA, mzunguko wa pesa umekua mgumu, Pembejeo na Masoko kwenye kilimo ndio balaa. Alafu mtu na phd yake anahubiri taa za barabarani bila aibu.
Wafanye uchaguzi wao china ameshawashinda sasa wanashindana na Tanzania.Azimio la bunge la Marekani liliotolewa tarehe 17/09/2020 lenye jina la "Urging the Government of Tanzania and all parties to respect human rights and constitutional rights and ensure free and fair elections in October 2020, and recognizing the importance of multi-party democracy in Tanzania."
Limepitishwa nchini Marekani kusihi serikali ya Tanzania na wadau wote wanaohusika kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 nchini Tanzania kufuata haki za binadamu, katiba ili kuhakikisha uchaguzi utakuwa wa huru na haki hapo mwezi Oktoba 2020. Tamko hilo limeonekana kukemea baadhi ya vitendo vya Serikali ya Tanzania tangu mwaka 2015 vyenye viashiria vya kuvunja haki za wananchi wa Tanzania.
Moja ya madai ya azimio hilo ni kwamba:
1. Serikali ya Tanzania imezuia ukusanyaji huru wa takwimu, utoaji wa takwimu
2. Serikali ama watendaji wa serikali wamekuwa wakitishia, kushambulia na kukamata wanahabari na kutokujali wanahabari waliopotea.
3. Serikali imezuia wanasiasa kufanya shughuli zao za kisiasa kuanzia mwaka 2016 mpaka 2019 kinyume na katiba ya nchi.
4. Serikali imedhibiti uhusiano wa taasisi zisizo za serikali NGO na taasisi nyingine zilizopo nje ya nchi kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa mnamo September 2019.
5. Viongozi wa vyama vya upinzani wamekuwa wakipotea vitisho, kushambuliwa na serikali kushindwa kuwakamata watenda makosa.
View attachment 1573603
View attachment 1573916
View attachment 1573915
View attachment 1573916
Soma zaidi:
Tanzania yaihakikishia Marekani uchaguzi utakuwa huru | DW | 09.09.2020
Ubalozi wa Marekani nchini wasikitishwa na Uminyaji demokrasia na ukamataji wa Viongozi wa Upinzani nchini
Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa
I told you Do Not Quote me in you fvcked up businesses... You wanna go drown yourself, get hit by a car.. I don't give a shooting crap...
Let's just say! Nimekumind Sana! (Allah repress my Anger) This Anonymity thing is truly helpful... Do NOT Quote me.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Alhamdulillah!You were the first to quote this Man, you wrote your words sarcastically, I would have given you a face, you deserve what you got from me.
By the way, its nonsense to mind someone whom you never saw
Ok sawa....Day Dream
Kabisa....[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba wawasaidie..!
Sure..... But under this regime every one is cryingcrying baby[emoji3][emoji3]
Sasaaaa....... Basssss!! !!Goli la mkono a. K. a ushindi wa mezani
Achana na wao zungumzia madikteta wako ambaye ameyaweka rehani maisha yako ambae inatakiwa washughulikiwe...... Mambo ya US sisi yanatuhusu nn?Na wao kwa nini hawakuwapeleka the likes of Henry Kissinger huko the Hague!?
Don't be fooled by the dramatized world order ...it's just an illusion painted to do one thing in reality doing the other. Ref. To Corona "The Pandemic Outbreak"
Hiki US inafanya sio kulinda haki zako wewe kabwela Nanjilinji huko . Is use you for the american conglomerates to make money.. Just that.
You can either be a fool and bend over.. or take it the high road and be a man about it. narudia hivi sio vigeni , alifanya Carl Peters na machief miaka ya 1800 na sasa collaborators are floating like bad beans repeating the same thing paving the road for colonialism.. once again.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mafuta yapo ya uhakika TZ? watu hawaji bure bureHaya maneno ya USA siyapendi. Walete USS Ronald Reagan mwabao wa bahari ya Hindi kama itatokea dhuluma ya kuiba kura wamtandike mtu. Haya maneno dictators never heed to words! 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪 🤪
View attachment 1573606
Jamani mimi ni Mzalendo, siyo kuwa nataka nchi yangu ishambuliwe hapana, ila Kiongozi akianza kuwaua watu wake, akija jirani tutamuomba msaada tusiuawe! Ni hilo tu. Ben Saanane yuko wapi? Azory Gwanda yuko wapi? Tumwombe jirani atusaidie kuwatafuta!