Aziniye na mwanamke hujiangamiza mwenyewe

Hoja dhaifu
 
Kwa Wakristo hakunaga Baraka kwenye Zinaa...! Huko ni kumkufuru Mungu.
 
P diddy bado anakula bata?
Hali bata, na kuna matajiri wengi tu wanafanya ngono za kila aina na wanakula bata hadi mwisho.

Anachosema mleta mada, ni kwamba unakuwa na mikosi ya kukosa hela, hazungumzii kufanya jinai.

P didy anaweza kuwa na matatizo yake mengine, yaliyomsababisha kufanya jinai.

Kuelewesha mbongo ni kazi, hivi utakuwa umeelewa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…