Wee huyo mchina mwenyewe umemjua shukuru mzungu 🤣🤣🤣Angewasifia Wachina angalau wana mchango mkubwa kwetu, ila wazungu hapana.
Ni knee shin toe (nishintoo) au livingstone ndio aliyetua bongoland first
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee huyo mchina mwenyewe umemjua shukuru mzungu 🤣🤣🤣Angewasifia Wachina angalau wana mchango mkubwa kwetu, ila wazungu hapana.
Mkuu tunapaa kwa ungo, tunasafiri kwa fisi tunatengeneza radi....Mchina kacopy and paste...ila anagalau mchina ameweza kucopy and paste mwafrica ata kucopy and paste tabu
Lakini mashiml ya choo ya watoto wetu tunashindwa tengeneza mpaka waje usaidMkuu tunapaa kwa ungo, tunasafiri kwa fisi tunatengeneza radi....
Bado unatudharau?
Hizo story alizitengeneza mzungu ili apewe sifa siku zijazo ila kiukweli hata Nyerere aliwakubali Wachina kuliko wazungu.Wee huyo mchina mwenyewe umemjua shukuru mzungu 🤣🤣🤣
Ni knee shin toe (nishintoo) au livingstone ndio aliyetua bongoland first
And look where we areHizo story alizitengeneza mzungu ili apewe sifa siku zijazo ila kiukweli hata Nyerere aliwakubali Wachina kuliko wazungu.
Mwigulu ndio shida hapo hatoi hela za ujenziLakini mashiml ya choo ya watoto wetu tunashindwa tengeneza mpaka waje usaid
Umerudi pale pale...mwafrika hamna kitu bwana wewe. Wacha mzungu atawale dunia.Mwigulu ndio shida hapo hatoi hela za ujenzi
Turudi kwa mada.....Umerudi pale pale...mwafrika hamna kitu bwana wewe. Wacha mzungu atawale dunia.
Na kuchakata mbususu muacheHATUOI
Hoja dhaifuMtoa mada ana zile imani za kishamba kabisa zilizopitwa na wakati.
Hawa ni watu ambao, chanzo cha maarifa yao ni kanisani ama msikitini tu.
Hawatafuti maarifa nje ya hapo.
Wanacholishwa na wachungaji au mashehe ndio wanameza hicho hicho, na mara nyingi wanalishwa matango pori.
P didy kazini na kila mwanamke maarufu unaemjua, net worthy yake ni 1 bilion USD.
Hizo ni takribani trillioni tatu za kitanzania.
Ukikuta mwanaume mwenye hela hafanyi ngono na watu mbalimbali huyo atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume.
Matajiri wanafanya umalaya wa ajabu, na hawajawahi kupata hiyo mikosi anayoisema mtoa mada.
Kwa Wakristo hakunaga Baraka kwenye Zinaa...! Huko ni kumkufuru Mungu.Kaka zangu chukueni hii....
Unapozama kwenye himaya ya mwanamke, ukiibuka pale lazima kuna kitu unaondoka nacho.
Waweza kuchukua baraka au mikosi na nuksi kwa huyo mwanamke.
Kuna mwanamke, mke mwema aliyeandaliwa na Mungu mwenyewe kwa ajili yako, huyo mke mwema ukizama kwake tu unajikuta unafanikiwa na vitu vinatembea na kusonga mbele.
Kuna mwanamke mwingine hakuandaliwa kwa ajili yako ukizama tu kwake kwa tamaa zako za kimwili kisha ukaanzisha naye mahusiano ya kimapenzi utajikuta umepigwa pin ghafla vitu vinaanza kukwama, kila kitu kinavurugika.
Umepewa mke mwema halafu hutulii kwa mkeo, kila siku unahangaika na wanawake ambao hawakuandaliwa na Mungu kwa ajili yako. Kwa nini kujiangamiza?
Hebu tulia na mkeo uliyepewa na Mungu, acha kuonja onja wanawake wa wengine, kumbuka sex ni jambo la kiroho sana, ikiwalala hao wasio wako basi unakuwa umeunganishwa na roho chafu ambapo zitakuandama daima, na hayo maangamizi yanakuwa ni yako peke yako.
Kisima cha MKEO ndiyo kisima cha baraka zote kwako, umheshimu mkeo na utabarikiwa. .
Kwa wale ambao hamjaoa tumieni akili zenu vizuri kwa kujiepusha na uzinzi, oeni mtulie na wake zenu.
Mit 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Ndio akili hiyo tayari mwanawaneTurudi kwa mada.....
Tunaangamia kwa kuzini hata ugonjwa wa ukimwi ni kazi ya mzungu alijua tunapenda sana mbususu akatia kirusi kwa papuchi tuangamie
P diddy bado anakula bata?Matajiri wanafanya umalaya wa ajabu, na hawajawahi kupata hiyo mikosi anayoisema mtoa mada.
Hali bata, na kuna matajiri wengi tu wanafanya ngono za kila aina na wanakula bata hadi mwisho.P diddy bado anakula bata?
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa....Haha ngoja nichukue pisi nikalale nayo na kimvua cha asubuhi ntaenjoi mno