Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Ni historia nzuri kabisa na nimefurahi sana kuisikia kwani mimi nimewahi kuishi Mtoni National Housing na nailikuwa sijui historia hii ya Mtoni kwa Aziz Ali. Lakini kilichonifurahisha zaidi ni kuhusu mtoto wa huyu bwana ambaye alikuwa contractore enzi hizo za niaka ya 50 hence he was rich lakini I quote ''Aziz Ali yeye alinunua karabai kwa kila msikiti na ikifika Maghrib mwanae Hamza alikuwa akizitia mafuta na kuziwasha kisha akizipeleka kila msikiti tayari kwa sala ya Maghrib. Inapomalizika sala ya Isha alikuwa anapita tena katika ile misikiti kukusanya karabai zake na kurudi nazo nyumbani kwao Mtaa wa Mbaruku na Kongo' I am so humbled kwa kweli. Hili ndio wenzetu matajiri wanalotushinda kuwafundisha watoto humbleness, big up Marehemu Aziz Ali May your Soul Rest in Peace! Huyu Hamza nayeye yuko wapi?
Mwana,
Hawa watu wameacha historia zilizotukuka na ndicho kilichonifanya
mimi ninyanyue kalamu kuandika historia zao.

Mengine ya Dossa hayajaelezwa.
Hamza amefariki.
 
MOhamed naona hukunielewa sikukusema wewe nimesema kuna watu huwa wanatoa Lawama kwa Mwalimu Nyerere wewe ndio umetutoa tonmgotonmgo kuwa pamoja na credit za watoto wa waliochangia uhuru inaonekana waliwaconsider. Sasa sijui wapi nimekupoint wewe labda ni kujishuku tu!
Mwana,
Ikiwa unaona nimekosea katika maelezo yangu nakutaka radhi.
 
Naam, huyo ni Kaka'ngu si kama unavyobwabwaja.

Jee, umewahi kumsoma Dossa Aziz nje ya hapa?
Maalim Faiza,
Mimi huwahurumia sana hawa ndugu zetu.
Kwao tusi ni kitu chepesi sana.

Lipi katika haya linalomfanya yeye atutukane?
Sisi tumshukuru Allah kuwa mama zetu walitufunza adabu toka udogo wetu.

Ningependa kumwambia huyu ndugu yetu kuwa hapa si mahali pa matusi ila
ni mahali pa fikra.
 
Huyo Wa kutuaminisha mpiganaji hakuwa Rambo pekee ndio huyu bwanako?
Duduwasha,
Ungeliweza kusema hayo uliyosema bila kutukana.

Punguza ghadhabu la unaona historia hii inakuchoma sana
mimi nakushauri acha usisome hizi, ''post,'' lakini haijuzu wewe
kuandika matusi.
 
Viroba ni hatari sana acha kuvinywa akili zako zirejee... Nani kasema sielewi au unachanganya hoja za wengine unanipa Mimi na pia hujaulizwa wewe na aliyemuuliza ni mwingine acha uvivu Wa kusoma Mada huku ndio maana unakurupuka... Aliyeulizwa mleta Mada kashindwa kujibu wewe ndio unajua majibu kuliko yeye aliyetunga story ya uongo? Mimi namuweka sawa asiweke vikorombezo kwenye mambo ya history even history za dini ujinga ujinga mwingi ulifutwa maana vinaleta upuuzi na history haitokubalika katu... Huyu huwezi mtetea zaidi nawe unajionesha kuwa ni bwege Wa ushabiki tu mbululaz kitu kielezea wazi na Dunia wakisoma wanaona Mwafrica Wa kwanza kujenga nyumba ya Vigae aliishi Tanganyika period
Duduwasha,
Hapana sijashindwa kukujibu.

Ila wakati mwingine huwa kuna maswali siyajibu kwa kumfanyia staha
muulizaji.

Mjadala una sheria zake na kubwa ni kumuheshimu unaejadiliananae.
Huwa nikiona kujibu kwangu kutamfedhehesha muulizaji hubakia kimya.

Haya ndiyo mafunzo alonipa maalim wangu Sheikh Haruna aliyenifunza
mbinu za mnakasha, yaani, ''debate.''

Hebu pitia upya majibu waliyokupa wenzangu utaona nini walikwambia.
Naamini hujapendezewa na kauli zao.
 
Naam, huyo ni Kaka'ngu si kama unavyobwabwaja.

Jee, umewahi kumsoma Dossa Aziz nje ya hapa?
Ndio Dossa Aziz nilishawahi msoma katika historia zaidi ya hapa, na hata huyu Aziz Ally nilishamsoma pia.. hapa ni ongeza ongeza tu lakini karibu wote hawa wamo kwenye vitabu vya historia. Mtu ambae hajui labda sijui alisomea wapi Tz hii.
 
Tunaomba "citation" ya ulipowasoma nasi tukajisomee tuone kilichoandikwa kuhusu wao.
 
Duduwasha,
Ungeliweza kusema hayo uliyosema bila kutukana.

Punguza ghadhabu la unaona historia hii inakuchoma sana
mimi nakushauri acha usisome hizi, ''post,'' lakini haijuzu wewe
kuandika matusi.
Mkuu achana nae huyo hawezi kubadilika, badala ya kujenga hoja yeye kaona kutukana watu ndio solution,nadhani malezi aliyoyapata katika makuzi yake ndio tatizo.
 
Maalim Faiza,
Mimi huwahurumia sana hawa ndugu zetu.
Kwao tusi ni kitu chepesi sana.

Lipi katika haya linalomfanya yeye atutukane?
Sisi tumshukuru Allah kuwa mama zetu walitufunza adabu toka udogo wetu.

Ningependa kumwambia huyu ndugu yetu kuwa hapa si mahali pa matusi ila
ni mahali pa fikra.
Usiombe utukanwe na wamama wa kiswahili hasa wa pwani

Unaweza kutukanwa mpaka utapike mwezi mzima.

Sijui matusi wajifunzia wapi wale wanawake wallah.
 
Si uandike wewe unayoyajuwa, maana Mohamed Said kayaandika ayajuayo kutokana na wazee wake alipokuwa akikuwa anawaona.

Hivi yote ayasemayo, umekisoma kitabu cha Mohamed Said japo kimoja ukayakosa? Kama jibu ni ndiyo tuandikie basi mbadala na ukizitaka rejea zake zote kaziainisha katika vitabu vyake kitaalam kabisa.

Mbona waandishi wengine wengi tu huenda mpaka kwake kuchukuwa elimu bila khiyana, hata nawe waweza kwenda tu kuchota mengi halafu uje na mbadala.
Weweeeee......bibi

Nimekisoma kitabu cha huyu mzee mwaka 2014, s'thing like Life n Times of Abdulwahid Sykes

Alichofanya ni kuzungumzia pre independence era yaani before 1961, kuhusu movements za ASP

Ila angalia contents zake kule utagundua anawapraise waislam over wakristo na wakristo waliotajwa ni wachache mno na kwamba waliwezeshwa na waislam kufanya waliyoyafanya including nyerere.

Katika kile kitabu nilimuuliza mwaka huo huo huyu Mohammed maswali kadhaa kabla ya kuanza kusoma kitabu chake cha pili nlikikuta Magomeni ila sijakimaliza.

Kila ukimuuliza anasema hiyo ndio historia ilivyo n finally as a defence for himself anasema nitafute historia ya kweli inayopingana na yake.

I'm not an Author, but I need to understand hence I do asking whenever I find controversal ideas.

Cc: Mohammed said
 
Weweeeee......bibi

Nimekisoma kitabu cha huyu mzee mwaka 2014, s'thing like Life n Times of Abdulwahid Sykes

Alichofanya ni kuzungumzia pre independence era yaani before 1961, kuhusu movements za ASP

Ila angalia contents zake kule utagundua anawapraise waislam over wakristo na wakristo waliotajwa ni wachache mno na kwamba waliwezeshwa na waislam kufanya waliyoyafanya including nyerere.

Katika kile kitabu nilimuuliza mwaka huo huo huyu Mohammed maswali kadhaa kabla ya kuanza kusoma kitabu chake cha pili nlikikuta Magomeni ila sijakimaliza.

Kila ukimuuliza anasema hiyo ndio historia ilivyo n finally as a defence for himself anasema nitafute historia ya kweli inayopingana na yake.

I'm not an Author, but I need to understand hence I do asking whenever I find controversal ideas.

Cc: Mohammed said
Azarel,
Ukweli ni kuwa vile nilivyoandika ndivyo ilivyokuwa lakini kama kuna mtu anaona vinginevyo yuko huru na yeye kueleza ayajuayo.
 
Viroba ni hatari sana acha kuvinywa akili zako zirejee... Nani kasema sielewi au unachanganya hoja za wengine unanipa Mimi na pia hujaulizwa wewe na aliyemuuliza ni mwingine acha uvivu Wa kusoma Mada huku ndio maana unakurupuka... Aliyeulizwa mleta Mada kashindwa kujibu wewe ndio unajua majibu kuliko yeye aliyetunga story ya uongo? Mimi namuweka sawa asiweke vikorombezo kwenye mambo ya history even history za dini ujinga ujinga mwingi ulifutwa maana vinaleta upuuzi na history haitokubalika katu... Huyu huwezi mtetea zaidi nawe unajionesha kuwa ni bwege Wa ushabiki tu mbululaz kitu kielezea wazi na Dunia wakisoma wanaona Mwafrica Wa kwanza kujenga nyumba ya Vigae aliishi Tanganyika period

Hebu nikupe somo hapo zamani za kale kipindi cha ukoloni hapa kwetu watu waligawanywa matabaka matatu wazungu waarabu wa asia na waafrika weusi ambao ndio wenyeji weusi mtu anaposimulia historia ya taifa letu akatumia neno mwafrika wa kwanza anamaanisha mtu mweusi wa kwanza katika makundi hayo matatu yaliyotajwa na hamaanishi afrika yote ......maana anazungumzia kwa tanzania kutokana na watu walivyokuwa wamegawanya kwa rangi zao sjui nini kinakuwa kigumu kuelewa hapo
 
Ndio Dossa Aziz nilishawahi msoma katika historia zaidi ya hapa, na hata huyu Aziz Ally nilishamsoma pia.. hapa ni ongeza ongeza tu lakini karibu wote hawa wamo kwenye vitabu vya historia. Mtu ambae hajui labda sijui alisomea wapi Tz hii.
Mauza...
Unaweza kweli umewahi kumsoma Dossa Aziz lakini ameandikwa,
ile Waingereza wanaita, ''in passing,'' yaani katajwa bila kushereheshwa.

Wazalendo hawa wametajwa kwa heshima na hadhi zao zote na kama
wanavyostahili kutajwa ndani ya kitabu changu, ''The Life and Times of
Abdulwahid Sykes...''
.
Fanya utafiti hili utalitambua.

Ulipata kujua kuwa ni Abdul Sykes ndiye ailiyeasisi TANU na harakati
alizianza toka Burma katika Vita Vya Pili Vya Dunia?

Ulipata kusoma popote pale kuwa ilikuwa Chief Kidaha Makwaia ndiye
aongoze TAA kisha ndiyo waunde TANU na kudai uhuru?

Hii historia haikuwa inajulikana na wengi.
Haya ndiyo tunayojadili hapa jamvini.
 
Hizi historia za wazee waislam wa kariakoo....wanywa kahawa na kupiga soga kwenye vibaraza kawasimulie wajukuu zao ambao hawazijui...uhuru wa tanganyika ulianza kutafutwa si na ukoo wa skyes&azizi ally.....ulianza tangu wageni ...wareno....waarabu....wajerumani na waingereza walipotuvamia!tumejifunza shuleni!ni aibu kwa mtu mzima kama wewe kutaka kupotosha ukweli....na kulazimisha hao wanywa kahawa&wapiga soga kwenye vibaraza ndo walioutafuta uhuru wa tanganyika!
 
Napenda uandishi was Mohammad Said,tatizo anaweka sana dini mbele kama vile uislam ndio uliopigania Uhuru wa Tanganyika,badilika kaka
History mbona iko wazi aseme wakristo wakati hawakuwepo unataka akufurashe wewe
 
Mohamed Said, historia zako nzuri sana tatizo haziko balanced zimeegemea sana kuonyesha ni waislam tu waliopigania uhuru wa Tanganyika kitu ambacho ni uongo! Angalizo: mimi ni muislamu..jitahidi kua fair kidogo ili hizi historia ziwe zimebalance na sio kuvutia upande mmoja tu. Thanks.
We sio mwislam kwenda zako sasa unataka akufurahishe ww na magalatia wenzako nyie si mlikua upande wa wazungu
 
Huyo mzee atawadanganya nyie wavivu Wa kusoma na kufanya utafiti.. Cha ajabu hata maneno ya Nyerere anayapinga, wasio husika anaweweka kwenye historia yake.. Wapigania Uhuru wapo kihistoria hadi Uingereza wana tambua kuna hadi wazungu wahindi walisaidia Uhuru hawataji hapa anazumgumzia Aziz Ali ambae hamna kitu Kazi zake za misikiti... Asidamganye watu kitu kuna wajuu zake Aziz tunawafahamu pia.
Hebu tuambie na ww hao watu kwa majina ila mzee rupia hakuna asio mjua
 
Duduwasha usiandike ukiwa umeghadhibika. Hapa nakusoma lakini nashindwa kupata mtiririko mzuri kufanya mjadala.

Sijasubiri Nyerere afariki ndiyo nisahihishe historia ya TANU.

Nimeandika Nyerere akiwa hai na hili nishalieleza hapa jamvini labda kwa kuwa wewe ni mgeni na maandishi yangu ndiyo hujui.

Kuna "series" zangu kuanzia 1988 nikiandika na Africa Events (London) makala ya kwanza kuandika historia ya TANU tofauti na ile rasmi ya Chuo Cha Kivukoni toleo zima liliondolewa katika "circulation."

Nimechapa kitabu cha maisha ya Abdul Sykes 1998 Nyerere alikuwa hai.

Vizuri kabla ya kuingia mjadala mtu ukafanya utafiti lau kidogo kujua unachokizungumza kuondoa kuonekana hujui kitu.

Laiti ungelifanya hivyo ungejua kuwa nilianza kuandika siku nyingi sana.

Tutazungumza zaidi nina mengi.
Na kama ni uongo ilikua na haja ya nyerere yy mwenyewe kupinga kama ni uongo anakuja mtu ambae kwanza hana hata muongo mmoja ndani ya jiji hili
 
Back
Top Bottom