Amepafom vizuri kwa kuifunga simba😅Na asipopafomu vizuri sijui itakuwaje?😳😳
Kwa kuwakumbusha tuSisi Yanga hatuendi popote ila tunawasubiri tarehe 13 Kwa Mkapa. Tujipime kati walioweka pre season Misri na waliobaki Tanzania.
Mkumbuke Winga Morrison, Winga K Azizz Power House inayo fua umeme wapo (Aucho, sure boy, Feisal, Bigilimana ) juu yupo Mayele.
Tunawasubiri Kwa hamu.
Ikawaje?Na hiyo kambi ya hapa hapa nchini watashindia sana uji🤣🤣
Sasa hivi wamehamia MamelodiKutoka Yanga hawawezi kumsajili huyo bwana mdogo, hadi sasa Yanga hawawezi kuweka kambi Uturuki...
Mwanaume mmbea ni hatari kwa afyaNa amegoma kukaa kule kigamboni kwenye hostel kama za chekechekea yaani kifupi aziz ki kwa mwezi atatumia kama mil 35 walijua wanaikomoa simba kumbe wanajimaliza wenyewe.
We kweli pwiloNa amegoma kukaa kule kigamboni kwenye hostel kama za chekechekea yaani kifupi aziz ki kwa mwezi atatumia kama mil 35 walijua wanaikomoa simba kumbe wanajimaliza wenyewe.
Na pwilo Kwa kilugha chetu ni mavi.We kweli pwilo
Na pwilo Kwa kilugha chetu ni mavi.We kweli pwilo
Simba itatuua hiiKwenye hiyo milion 400 ambazo kazipitia bwana funguo ambazo zimewafanya wa postpone pre season ndio walitaka kutumia kumsajili na msuva kama ambavyo tetesi zilikuwa zinadai?
Azizi Ki mbinafsi sana yani hana utu anaji tumbo lake tu, sasa msuva akale wapi?
Vipi unaendeleaje?Na hiyo kambi ya hapa hapa nchini watashindia sana uji🤣🤣
Na wamepata kombee mara tatu hao nyie hamna chenuNa hiyo kambi ya hapa hapa nchini watashindia sana uji🤣🤣
Bahati nzuri uji umetupa makombe mfululizoNa hiyo kambi ya hapa hapa nchini watashindia sana uji🤣🤣
🤣🤣🤣Sisi Yanga hatuendi popote ila tunawasubiri tarehe 13 Kwa Mkapa. Tujipime kati walioweka pre season Misri na waliobaki Tanzania.
Mkumbuke Winga Morrison, Winga K Azizz Power House inayo fua umeme wapo (Aucho, sure boy, Feisal, Bigilimana ) juu yupo Mayele.
Tunawasubiri Kwa hamu.
🤣🤣🤣Walioweka kambi Uturuki leo hawana uhakika na nafasi ya pili
Dunia tambara bovu aisee.Walioweka kambi Uturuki leo hawana uhakika na nafasi ya pili