Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Kupitia ndoa ya Aziz na Missa nimegundua wanaotukana single maza humu ndani ni makapuku wa kutupwa hawana mbele wala nyuma na ni waoga mno..Keyboard warriors yaani wanapiga zogo humu mitandaoni huko mitaani masingle maza wanaolewa kwa dau kubwa sana kila kukicha....Hongera sana missa kwa kuwakilisha single maza wa Tanzania,saivi hii mijinga imebaki kuongea negative eti tuone ndoa itadum au vipi, Suala la kudumu muwaachie mwenyewe kikubwa missa enjoys the moment...Mabrook Mabrook
Huyo ni zaidi ya single maza mzee, huyo ni Amisa mobetto! Kaa Kwa kutulia kbs na acha kabisa kuwapa single mazas matumaini hewa!
 
Eñg Hersi kampoteza huyo. Alichomfanyia dogo ukweli ni kibàya sana, kumuingiza chaka kwa mobeto?
Engineer Hersi sijawahi mkubali hata siku moja, naamini maneno ya dogo Fei Toto dhidi yake. Kwa kweli jamaa hafai hata kidogo.
 
Back
Top Bottom