Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee usije ukawaponza ndugu katika imani, nchi haiongozwi na sheria za dini asee.Sheria zetu na dini ya kiislamu vinambeba,Hamisa hata akiomba talaka hapati ngawo wo maana,hofu ni Aziz kufirisika ndani ta ndoa
Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Mhm nilimponda nikasemaje?Mmh! Jana siulikua unamponda Missa wewe?🤔
Unanichosha😒Mhm nilimponda nikasemaje?
Pole binti yangu.Unanichosha😒
Sitaki.Pole binti yangu.
Taka tu ephenSitaki.
Mahari kapewa nani? Dalali?Hivi ni kweli kabisa kwamba Mahari ya kuolewa kwa Mwanamke huyo ni Tsh. 30 Milioni? Kiasi hiki Cha Fedha ni Cha kweli au ni Matangazo tu ya kwenye vyombo vya Habari? Milioni 30????? Is it?
Kama ni kweli, basi kiasi hicho Cha Mahari kitakuwa kimevunja rekodi katika nchi hii ya Tanzania tangu karne hii ianze.
Usinzi siyo jadi yetuWenye kijiba mngempa dada zenu na shangazi zenu wote wakaolewe na Aziz Ki
Mwanadamu kwetu siyo bidhaa ni bure hana beiMkimaliza kumnanga Hamisa na nyie mtuletee habari za ndoa za dada zenu na shangazi zenu, kama hawajaposwa na kilo moja ya unga wa ngano wa chapa mandazi!
Huo usinzi sijui uzinzi alikuwa anafanya mwenyewe au peke yake?Usinzi siyo jadi yetu
Kwani yeye kauzwa ? Pesa ipo ndiyo maana imetolewa, sema kama hauna utasema pesa nyingi sana, mwenzio kawaida tu, kapewa mama mzazi yakumfutia jashoMwanadamu kwetu siyo bidhaa ni bure hana bei
Wewe si umesema huenda dada au shangazi zetu ,posa ikawa kilo moja ya unga wa ngano chapa maandazi.Kwani yeye kauzwa ? Pesa ipo ndiyo maana imetolewa, sema kama hauna utasema pesa nyingi sana, mwenzio kawaida tu, kapewa mama mzazi yakumfutia jasho