Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kwasababu ana hela, mimi ni marioo.Mbona wewe umeoa single mama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu ana hela, mimi ni marioo.Mbona wewe umeoa single mama?
Teh teh teh 😃 😃 😃 hii kali....Du hela zinapotezwa sana
Haya endelea kujifariji soon utapata Aziz wakoMaisha hayazunguki vichwani mwenu, kibaya kwako ni kizuri kwa mwezio.
Mijadala ya aina hii ni dawa ya kushusha stress baada ya kupambana na hali zetu.Huu muda mnaojadili ndoa ya watu ni Bora mkautumia kupambana na Hali zenu
Hata wewe?Huyu jamaa katapeliwa kirahisi sn
Hahaha
Na kweli.ndo maana bado tuna Safari ndefu sana kwenye mafanikioMijadala ya aina hii ni dawa ya kushusha stress baada ya kupambana na hali zetu.
Jbu swaliDau la mbususu linaanzia buku 3000 na kuendelea haina mwisho
Hivi huyu mwamba ni dini gani? Maana naona kama ni mkristu kwa sababu anaitwa Stephen Aziz KiWakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Fanya bidii ili Mungu aghairi maana anasema hapendi kuachanaNaweza nikawaombea mazuri lakini kuachana kupo pale pale nakwambia. Maombi yangu hayatasaidia chochote
Sheria zetu na dini ya kiislamu vinambeba,Hamisa hata akiomba talaka hapati ngawo wo maana,hofu ni Aziz kufirisika ndani ta ndoaMe namwonea Aziz k huruma kwenye kugawana mali. Baada kuvunjika kwa ndoa.