Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Hii sio trend Kweli.🤔?

Naona kama huu ni mchezo umechezwa Kwa akili kubwa Sana.Huyu jamaa kamuolea mtu.

Ila hamisa ana msambwanda asee.
Wacha nibaki na Kazi yangu ya udalali
Tako tako kweli yaani hapa aziz anafaidi dunia kabisa.
Huyu mrembo ukimweka doggy style hadi raha
 
Lakini mbili, Hamisa ni Kunguru ambaye hafugiki, kwa maana ya kwamba watu wazima kama kina diamond, majizo na hata yule mnigeria wame gonga mwamba je vipi kwa Huyu kijana ambaye alipaswa achukue binti wa 2000 waanze moja
Kuna yule msanii kazi yake ilikuwa ni kupiku wake wa wenzake simkumbuki jina yaani yeye ni pinduapindua
 
Mimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali[emoji23][emoji23][emoji23]
Mim nilisema jaman huku mtaan watu wanaoa watu wenye Rika sawa hao watoto wa 2000 na bikra wanaoa wakiwa mitandaon
 
Kuna wanawake wa kula na kuto olewa na Hamisa ni moja kati ya hao wanawake wasiostahili kuolewa. Yule ni kwa agili ya kuburudika naye tu kisha unasepa tena huku ukimblock asikutafute unamtafuta wewe tu pale unapomuhitaji.. Mwanamke gani anapigwa miti kwa dau na kila mwanamme?
Huyu limbukeni kapotea sana, kachukua mali yà umma. Hapa mwàka mmoja tuu hamisa atakuwa keshapata alizozitaka ndo mwisho wa Ki.
 
Kwani huyo Aziz Ki hana mtoto? Aisee hawa West africans wana changamoto sana. Ina maana wameamua jamaa career yake ikiisha hapa bongo wataondoka wote huko Burkina Faso au ndio talaka?

Kila la heri kwao, nadhani kwake 30m ni hela ya kawaida tu, sisi masikini ndio tutaona kapoteza pesa nyingi.
 
Barikiwa,nadhani wameelewa
Kisichokufaa wewe mwingine chamfaa
Yaan maisha ya mapenzi siyo ya kupangiana...wewe huwezi wenzako wanaweza...
Yaan mtu kupigwa matukio basi anataka wanaume wote wasimthamini mwanamke ...hapana tunakosea...tukumbuke nasi tulizaliwa na mwanamke aliyechaguliwa na baba
Kabisa mkuu, kuna baadhi ya pisi mtu unazidharau, unaona ni mbovu ila kuna mwamba huko halali, anahonga balaa walau apate kiss tu.

Unamuona kicheche ila kuna mtu anamuwazia balaa, pamoja na kua mnamdiss sana ila wapi moyo wake upo kwake.

Ni ajabu sana mwanaume kua na wivu, mtu anasema hastahili kulipiwa hizo 30M na wakati huo dada/mama yake na utulivu wake aliolewa sogea tuishi.
 
Ukute jamaa kaambiwa ili apewe mbunye hadi amuoe. Sasa ngoja akishaichakata baada ya miezi mi3 tu mbona atamchoka, hakuna rangi ataacha ona.
 
Back
Top Bottom