Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
HeheheHuyu jamaa katapeliwa kirahisi sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheHuyu jamaa katapeliwa kirahisi sn
Hehehe
Hivi kwani unalipwa kuweka dislikes au ndo unaamua tu kutuchafulia 🤣🤣🤣Hehehe
Nashauri Ubalozi wa nchi yake iingilie kati ili Azizi akamatwe na kupimwa akili, milioni 30 kwa cha wote?Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Wewe mdada wewe!
HahahaHivi kwani unalipwa kuweka dislikes au ndo unaamua tu kutuchafulia 🤣🤣🤣
HeheheHahaha
Kuna wanawake wa kuoa na kuto olewa na Hamisa ni mmoja kati ya hao wanawake wasiostahili kuolewa. Yule ni kwa ajili ya kuburudika naye tu kisha unasepa tena huku ukimblock asikutafute, unamtafuta wewe tu pale unapomuhitaji.. Mwanamke gani anapigwa miti kwa dau na kila mwanamme?Kwenye swala Mobeto Leo, wanawake kwa wanaume wanajadili swala la Mobeto,
Kiuhalisia Maisha jikune unapoweza pia Kwa wanaume mwanamke sio mtu wa kumuwekea Dhamana, unaweza Gharamika wewe na mshikaji anapiga Bure bila hata kupewa usumbufu Kiumbe Mwanamke ni kama Nyoka au Kinyonga.
Huyo aneona amepata Almasi, Ajue kabisa Gharama zake au ufahari wake sio Guarantee kwa mwanamke,
Hizo ni sifa za Kijinga , ni swala la Muda tu.
Milioni 30 na Ng'ombe 30.
" Yaani Huyo Kuna msela Yupo katuria kama Moja. Akikitaka hicho Kipochi Manyoya anakipata Faster, Hiyo Mali ya Jamii"
Baada Mud tu utasikia Chaliiiii
Kimsingi Aziz amenunua Kiwanja Chenye Mgogoro na Makaburi ya Wanafamilia Ndani yake.
Sio watu wanaoa sema Aziz K ndio anaoa. Diamond kapiga katia mimba kaacha,majizo kapiga katia mimba kaacha, wewe hustuki tu hapo na hao wanapesa kumshinda huyu kilaza.Mimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Poor comment, ukioa bikra ndiyo utakuwa wa maana ila sio vinginevyo.Ni aibu sana kwa mwanaume kulea bao la mwanaume mwenzake
Mwanaume yoyote anayeoa single mom ni dhaifu sana ni kama choko tu
Kwa hiyo ulitaka Hamisa asiolewe ? Hayo mambo ya kuzaa yalishapita na sababu ya kuzalishwa ilikuwa ndoa sema jamaa wamemdanganya sana huko nyuma ...Muacheni mtoto wa watu ale maisha .Sio watu wanaoa sema Aziz K ndio anaoa. Diamond kapiga katia mimba kaacha,majizo kapiga katia mimba kaacha, wewe hustuki tu hapo na hao wanapesa kumshinda huyu kilaza.
Kwa kifupi kijana ni mshamba,kwa muonekano wake angekosa pesa angekuwa na hali ngumu sana kuscore mademu.
Sasa amepata tuhela amekutana na huyu mdangaji mzoefu ametia nanga alivyofala.
Hapo anakwenda kulipishwa bili za malezi watoto wasio wake atalipa bila kupenda na atalipishwa mabili mengine yasiyo na mbele wala nyuma hadi akome.
We milioni 30 ulipie mwanamke kama huyo ili kuprove nini sasa?
Wewe Tanzania hii unamzidi Aziz Ki kwa kipi??Wanaolewa na weak men na simps. Leo hii mwanaume yoyote timamu hawezi kuoa single mom atapiga tu na kusepa
Hata ukiangalia vizuri huyo Azizi na mwanamke wake aliyezalishwa ni kama tu amezidiwa akili anapelekwa pelekwa
Azizi ni dhaifu sana
Madalali siyo watu wazuri.Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Dau la mbususu linaanzia buku 3000 na kuendelea haina mwishoWewe uliuziwa bei gani?
Usisahau Kuna watu wanapiga Bure, wengine wanapiga kwa Kumnunulia Indi au Hata Ice cream 🍦 🍦 🍦 🍦 tu mwanamke atabiriki ndugu.Dau la mbususu linaanzia buku 3000 na kuendelea haina mwisho
Mkuu mbususu ya bure haipo amini hivyo, utapewa leo bure kesho utalipiaUsisahau Kuna watu wanapiga Bure, U wengine wanapiga kwa Kumnunulia Indi au Hata Ice cream 🍦 🍦 🍦 🍦 tu mwanamke atabiriki ndugu.
Yes. Ukipewa Leo Bure sawa, kuendelea mpaka utake ulichotaka ushapata.Mkuu mbususu ya bure haipo amini hivyo, utapewa leo bure kesho utalipia