Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where are you running, Homie?.Kwenye swala Mobeto Leo, wanawake kwa wanaume wanajadili swala la Mobeto,
Kiuhalisia Maisha jikune unapoweza pia Kwa wanaume mwanamke sio mtu wa kumuwekea Dhamana, unaweza Gharamika wewe na mshikaji anapiga Bure bila hata kupewa usumbufu Kiumbe Mwanamke ni kama Nyoka au Kinyonga.
Huyo aneona amepata Almasi, Ajue kabisa Gharama zake au ufahari wake sio Guarantee kwa mwanamke,
Hizo ni sifa za Kijinga , ni swala la Muda tu.
Milioni 30 na Ng'ombe 30.
" Yaani Huyo Kuna msela Yupo katuria kama Moja. Akikitaka hicho Kipochi Manyoya anakipata Faster, Hiyo Mali ya Jamii"
Baada Mud tu utasikia Chaliiiii
Unakataa kuoa Single mama unakuja kuoa binti aliyetoa mimba zaidi ya kumi ,Mkuu usikaze fuvu ndoa ni tasisi inahitaji Upendo wa kweli maswala ya Usingle mama ni kwa wanaume dhaifu.
Maza kisha kinukisha huko, anadai Herci anampelekesha dogo ili awndelee kubaki na Soka letu la mchanganiKwenye swala Mobeto Leo, wanawake kwa wanaume wanajadili swala la Mobeto,
Kiuhalisia Maisha jikune unapoweza pia Kwa wanaume mwanamke sio mtu wa kumuwekea Dhamana, unaweza Gharamika wewe na mshikaji anapiga Bure bila hata kupewa usumbufu Kiumbe Mwanamke ni kama Nyoka au Kinyonga.
Huyo aneona amepata Almasi, Ajue kabisa Gharama zake au ufahari wake sio Guarantee kwa mwanamke,
Hizo ni sifa za Kijinga , ni swala la Muda tu.
Milioni 30 na Ng'ombe 30.
" Yaani Huyo Kuna msela Yupo katuria kama Moja. Akikitaka hicho Kipochi Manyoya anakipata Faster, Hiyo Mali ya Jamii"
Baada Mud tu utasikia Chaliiiii
Mungu anasema A man should start his own family, not join another man's familyNdoa ni taasisi ambayo mwanaume anatakiwa aanzishe yeye mwenyewe yaani aoe mke wake sio ajiunge kwenye familia/taasisi iliyoanzsihwa na mwanaume mwenzake
Mzee wa kupambania
Kwenye swala Mobeto Leo, wanawake kwa wanaume wanajadili swala la Mobeto,
Kiuhalisia Maisha jikune unapoweza pia Kwa wanaume mwanamke sio mtu wa kumuwekea Dhamana, unaweza Gharamika wewe na mshikaji anapiga Bure bila hata kupewa usumbufu Kiumbe Mwanamke ni kama Nyoka au Kinyonga.
Huyo aneona amepata Almasi, Ajue kabisa Gharama zake au ufahari wake sio Guarantee kwa mwanamke,
Hizo ni sifa za Kijinga , ni swala la Muda tu.
Milioni 30 na Ng'ombe 30.
" Yaani Huyo Kuna msela Yupo katuria kama Moja. Akikitaka hicho Kipochi Manyoya anakipata Faster, Hiyo Mali ya Jamii"
Baada Mud tu utasikia ChaliiiiiWIVU TU AFU USKUTE WE NI MWANAUME
Tukiacha masihara Ebu tutafakari je "fame ya Azizi itakaposhuka itakuwa vipi maana pia endorsement zitapungua lakini pia dau za Azizi zitapungua maana kimsingi mchezaji anavozidi kukuwa kiwango kinashuka wanakuja nyota wapya na wanawikaSingle mother wametofautiana grade
Mobeto ana vitu vingi vya Ku offer , maana wachezaji wanategemea deal ambazo huitwa endorsement .
So Azizi na mobeto ni biashara inatengenezwa ili pesa iweze kuingia.
Sasa usije ukafananisha na single mother ambaye yupo yupo ,kuolewa ni ngumu Sana.
Na wanapagawa kuliko wakiwa na mabikraila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Wewe uliuziwa bei gani?Inafikirisha sana kuona mbususu inayouzwa kama nyanya inalipiwa mahari, kila mtu ashinde mechi zake
Hata mimi elfu 50k ni ndogo sana kwangu lakini siwezi kufanya baadhi ya vitu kwa hiyo hela.Mil 30 ndogo sana kwa Azizi Ki jamaa anaweza fanya x 3 pale mengine ni kiki tu za mtandaoni
Tukiacha masihara Ebu tutafakari je "fame ya Azizi itakaposhuka itakuwa vipi maana pia endorsement zitapungua lakini pia dau za Azizi zitapungua maana kimsingi mchezaji anavozidi kukuwa kiwango kinashuka wanakuja nyota wapya na wanawika
Lakini mbili, Hamisa ni Kunguru ambaye hafugiki, kwa maana ya kwamba watu wazima kama kina diamond, majizo na hata yule mnigeria wame gonga mwamba je vipi kwa Huyu kijana ambaye alipaswa achukue binti wa 2000 waanze moja
Yaani hii comment yako mwisho kabisa ndipo umeharibu manake ncheke 😀😀😀,Yaani Mwanaume Malaya kama Diamond ni wa kumuweka kama mfano kweli una uwezo mdogo sana wa kufikiri .Eti watoto wa 2000 unakijua vizuri hicho kizazi 😀😀😀hao wanaweza kuwa na Umalaya kupita wa huyo HamisaTukiacha masihara Ebu tutafakari je "fame ya Azizi itakaposhuka itakuwa vipi maana pia endorsement zitapungua lakini pia dau za Azizi zitapungua maana kimsingi mchezaji anavozidi kukuwa kiwango kinashuka wanakuja nyota wapya na wanawika
Lakini mbili, Hamisa ni Kunguru ambaye hafugiki, kwa maana ya kwamba watu wazima kama kina diamond, majizo na hata yule mnigeria wame gonga mwamba je vipi kwa Huyu kijana ambaye alipaswa achukue binti wa 2000 waanze moja
CountrywideKataa ndoa ngapi ngapi huko?? 😹😹
Single maza wa wababa wawili anaolewa na hakuna cha kuonyeshwa kaburi wote wako hai, zaidi inachoma km pasi mahari 30 mln..!! 🤣
Hiko chama chenu mkivunje#*=) +1hakina umuhimu..!!
Tu conclude kwa kusema mmoja kaingia mazima,Ukipata endorsement Kama mchezaji utafikia malengo mapema.
Kuhusu fame , Tz mambo kama ya mapenzi hufatiliwa Sana .
Na kuhusu kunguru mobeto., she is there to make money .
So in business wise
Azizi yupo sahihi., atapa deal nyingi kupitia ndoa yake ya kimkakati.
MmhNatamani nitume voice note maana kuandika haitoshi🥶
Kuna msemo mademu nimesikia wanasema kwamba wanazaa na wanaume warefu alafu wafupi ndo watakuja kulea
Katika dislikes 19 nilizokuwa nazo 17 ni wewe tu!!!