Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Kwenye swala Mobeto Leo, wanawake kwa wanaume wanajadili swala la Mobeto,
Kiuhalisia Maisha jikune unapoweza pia Kwa wanaume mwanamke sio mtu wa kumuwekea Dhamana, unaweza Gharamika wewe na mshikaji anapiga Bure bila hata kupewa usumbufu Kiumbe Mwanamke ni kama Nyoka au Kinyonga.
Huyo aneona amepata Almasi, Ajue kabisa Gharama zake au ufahari wake sio Guarantee kwa mwanamke,
Hizo ni sifa za Kijinga , ni swala la Muda tu.
Milioni 30 na Ng'ombe 30.
" Yaani Huyo Kuna msela Yupo katuria kama Moja. Akikitaka hicho Kipochi Manyoya anakipata Faster, Hiyo Mali ya Jamii"
Baada Mud tu utasikia Chaliiiii
pilipili usiyoila inakuwashia nini? Au alikwambia umsaidie kuchangia hao ng'ombe na hizo fedha?

Hebu wacheni umbea muendelee na kupambana na maisha yenu ya kutafuta riziki.
 
Wanawake kariba yake ndio wanaolewa maana wanajuaga Me anataka nini!!

Sio jambo la kushangaza, binafsi nawashangaa wanaoshangaa huyo dem kulipiwa mpunga mrefu. Ni status mazee, kagawa mbunye lakini kagawa kwa watu maarufu.
Ni kama Wema alivyokuaga kileleni enzi zake, aligawa mbunye kama pipi still celebreties na vibopa walikua wanamwaga pesa kama vichaa.

Ni muda wake.
Barikiwa,nadhani wameelewa
Kisichokufaa wewe mwingine chamfaa
Yaan maisha ya mapenzi siyo ya kupangiana...wewe huwezi wenzako wanaweza...
Yaan mtu kupigwa matukio basi anataka wanaume wote wasimthamini mwanamke ...hapana tunakosea...tukumbuke nasi tulizaliwa na mwanamke aliyechaguliwa na baba
 
Kwa hiyo ulitaka Hamisa asiolewe ? Hayo mambo ya kuzaa yalishapita na sababu ya kuzalishwa ilikuwa ndoa sema jamaa wamemdanganya sana huko nyuma ...Muacheni mtoto wa watu ale maisha .
Its not a matter of mimi kutaka ama la. The issue ni tumeanza sasa kusifu na kutukuza life style ya ukahaba na udangaji.
 
pilipili usiyoila inakuwashia nini? Au alikwambia umsaidie kuchangia hao ng'ombe na hizo fedha?

Hebu wacheni umbea muendelee na kupambana na maisha yenu ya kutafuta riziki.
Wasamehe ndugu yangu. Umaskini mbaya sana na ndio chanzo cha haya yote. Umaskini unaleta chuki na Roho mbaya na mwisho kuzalisha uchawi.

Wengi wa wana JF ni maskini na wanatumia fake ID kutoa stress zao.
 
Poor comment, ukioa bikra ndiyo utakuwa wa maana ila sio vinginevyo.

Azizi K pesa anayo tena nyingi iyo ni power kubwa kuliko unavo weza kuwaza, siyo choko kama unavomfananisha.
Hivi yule Demu wake pisikali balaa ipo wapi?
 
Its not a matter of mimi kutaka ama la. The issue ni tumeanza sasa kusifu na kutukuza life style ya ukahaba na udangaji.
Mwanamke ndiye kachezewa tangu enzi za Majizzo ,unafikiria angefanyaje ?

Mazingira ya kazi zake ndio yanamfanya awe vile ,pia alitegemea ndoa kutoka kwa Diamond ...Ndoa ina raha yake acha aolewe.
 
Back
Top Bottom