Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Hata kama ameolewa mahari ikiwa bure, muhimu single mama kaolewa! Tena na mwanaume wa maana☺️
Kafuata jina na umaarufu tu, kuwa single mama alafu huna mbele wala nyuma kama utaolewa
 
Kafuata jina na umaarufu tu, kuwa single mama alafu huna mbele wala nyuma kama utaolewa
Huku mtaani wanaolewa! Bibi yangu aliolewa akiwa na watoto wanne baba tofautitofauti.
Mwaka jana dada yangu kaolewa akiwa na mtoto mmoja.

List ni ndefu, hapo sijakutajia majirani walioolewa wakiwa single mama.

Hapa jf yenyewe kumejaa wanaume chungu nzima wameoa single mama wakiwemo OKW BOBAN SUNZU na mwenzake Chaliifrancisco 😜
 
Huku mtaani wanaolewa! Bibi yangu aliolewa akiwa na watoto wanne baba tofautitofauti.
Mwaka jana dada yangu kaolewa akiwa na mtoto mmoja.

List ni ndefu, hapo sijakutajia majirani walioolewa wakiwa single mama.

Hapa jf yenyewe kumejaa wanaume chungu nzima wameoa single mama wakiwemo OKW BOBAN SUNZU na mwenzake Chaliifrancisco 😜
Single mazaz hoyee 🤣🤣

Ila hapo kwa Azizi amepigwa.
 
Huu muda mnaojadili ndoa ya watu ni Bora mkautumia kupambana na Hali zenu
 
Kwenye vikao vyenu si huwa mnaambiwa hamna kuoa single mother nyie? Na hamna kulipia mahari asiye bikra😂😂😂😂😂
Tunaambiwa lakini tunaambiwa pia inateegemea na mtu, kuna wengine kuna kuwa hakuna namna!
 
Single mazaz hoyee 🤣🤣

Ila hapo kwa Azizi amepigwa.
Unaona sasa! Mnawapenda wanawake wazuri wanaovutia bila kujali ni single mama au lah.
Hamisa ni ndoto ya wanaume wengi humu jf ila tatizo hao wanaume hawana hela ya kummiliki.

Hata mimi na sura yangu kama sufuria bado nataka mwanaume mwenye hela! Sembuse Hamisa anayewaka kama taa.
 
Huku mtaani wanaolewa! Bibi yangu aliolewa akiwa na watoto wanne baba tofautitofauti.
Mwaka jana dada yangu kaolewa akiwa na mtoto mmoja.

List ni ndefu, hapo sijakutajia majirani walioolewa wakiwa single mama.

Hapa jf yenyewe kumejaa wanaume chungu nzima wameoa single mama wakiwemo OKW BOBAN SUNZU na mwenzake Chaliifrancisco 😜
Hapo kwenye mfano wa bibi ni kunidanganya mchana kweupe, ukute alirithiwa baada ya mumewe kumwacha wakaona anafaa kwa matumizi.
Ila all in all masingle mama wengi hawaolewi. Wanatumiwa tu, especially na vibenten
 
Hapo kwenye mfano wa bibi ni kunidanganya mchana kweupe, ukute alirithiwa baada ya mumewe kumwacha wakaona anafaa kwa matumizi.
Ila all in all masingle mama wengi hawaolewi. Wanatumiwa tu, especially na vibenten
Dah! Natamani nikupe location yake uende ukajionee kwa kufanya uchunguzi wako mwenyewe.
Hili sidanganyi.
 
Kafuata jina na umaarufu tu, kuwa single mama alafu huna mbele wala nyuma kama utaolewa
Hizo ni dua za kuku tu, wanaolewa sanaaa. Jana tu nimetoka kwenye harusi ya single mom of two.
 
Unaona sasa! Mnawapenda wanawake wazuri wanaovutia bila kujali ni single mama au lah.
Hamisa ni ndoto ya wanaume wengi humu jf ila tatizo hao wanaume hawana hela ya kummiliki.

Hata mimi na sura yangu kama sufuria bado nataka mwanaume mwenye hela! Sembuse Hamisa anayewaka kama taa.
Uzuri wa mwanamke sio sura au kung'aa. Historia yako kwenye jamii inachukua asilimia nyingi sana.

Usichokijua ni kuwa pamoja na wanaume wengi kupenda hizo sifa ulizotaja kwa huyo Mobeto ni matamanio ya kutaka kumtumia tu lakini huwa hawaoi wa hivyo wanakuja kuwaoa nyie wenye shape na sura za baba.
 
Hizo ni dua za kuku tu, wanaolewa sanaaa. Jana tu nimetoka kwenye harusi ya single mom of two.
Naona kipindi hiki wanawake wamekuwa motivated sana, comments zimekuwa nyingi... msiangalie hiyo scenarios kwa jicho la uhalisia huyo shangigi ni maarufu sema kapata kijana kilaza aliyeoza na kufa juu yake
 
Naona kipindi hiki wanawake wamekuwa motivated sana, comments zimekuwa nyingi... msiangalie hiyo scenarios kwa jicho la uhalisia huyo shangigi ni maarufu sema kapata kijana kilaza aliyeoza na kufa juu yake
Maisha hayazunguki vichwani mwenu, kibaya kwako ni kizuri kwa mwezio.
 
Uzuri wa mwanamke sio sura au kung'aa. Historia yako kwenye jamii inachukua asilimia nyingi sana.

Usichokijua ni kuwa pamoja na wanaume wengi kupenda hizo sifa ulizotaja kwa huyo Mobeto ni matamanio ya kutaka kumtumia tu lakini huwa hawaoi wa hivyo wanakuja kuwaoa nyie wenye shape na sura za baba.
Huyo unayemuita ana historia mbaya mwanaume mwenzako katoa fuso mbili za ng'ombe na hapa nipo live zamaradi tv namuangalia azizi ki anachoma ubani
 
Huyo unayemuita ana historia mbaya mwanaume mwenzako katoa fuso mbili za ng'ombe na hapa nipo live zamaradi tv namuangalia azizi ki anachoma ubani
Namhurumia sana huyu kijana Azizi. Atakuwa katupiwa jini sio bure. Ila pia wametumia loophole ya huyu kijana kuwa sio Mtanzania na hawajui hawa kia mabeto na pia kijana anaonekana limbukeni wa mapenzi.

Atalia sana ila tutamfariji.
 
Back
Top Bottom