Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Hahahaha ulifanya nao kikao wapi utupe maazimio yenu?
Nenda leo kamwambie mshua unaoa single mom lazima akuone punguani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ulifanya nao kikao wapi utupe maazimio yenu?
Single mother wametofautiana gradeMimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Unapiga nyundo za moto leo 😀😀😀Hata kama ameolewa mahari ikiwa bure, muhimu single mama kaolewa! Tena na mwanaume wa maana☺️
🚮🚮🚮MIREMBE NATIONAL MENTAL HEALTH HOSPITAL (MNMH)
Mission statement
To provide mental health services through diagnosis, management, forensic investigations and research on mentally challenged individuals for a healthy community.
Loading…
mnmh.or.tz
![]()
MIREMBE NATIONAL MENTAL HEALTH HOSPITAL (MNMH) | MHIN
www.mhinnovation.net
Ilisaidia kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na sasa. Idadi ya single mothers inakua kwa kasi ya 5G.Na bado haikupunguza kitu na maisha yakaendelea! Leo hii waoaji wanahesabika so hawa dada zetu wafanye nini? After all ni maisha yao
Hata kama ameolewa mahari ikiwa bure, muhimu single mama kaolewa! Tena na mwanaume wa maana☺️
Tena jamii forum tuMimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Mkuu mbona unajipa moyo huku mtaani kesho tunaenda kuozesha sio single Mama ni Single bibi na kijana wa 29😀😀😀Single mother wametofautiana grade
Mobeto ana vitu vingi vya Ku offer , maana wachezaji wanategemea deal ambazo huitwa endorsement .
So Azizi na mobeto ni biashara inatengenezwa ili pesa iweze kuingia.
Sasa usije ukafananisha na single mother ambaye yupo yupo ,kuolewa ni ngumu Sana.
Hhahaha mi mzee kaka naozesha sio kuoaNenda leo kamwambie mshua unaoa single mom lazima akuone punguani
Sasa anafanana na wewe broooAzizi Ki kwako ni mwanaume wa maana?
Mimi nikionaga nyuzi zao huwa nachekaga najisemea hawa wamechanganyikiwa si bure.Mimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali😂😂😂
Mwenye pesa ni wa maana tu kwa namna zote kwa ulimwengu wa sasa!Azizi Ki kwako ni mwanaume wa maana?
Single mother wametofautiana grade
Mobeto ana vitu vingi vya Ku offer , maana wachezaji wanategemea deal ambazo huitwa endorsement .
So Azizi na mobeto ni biashara inatengenezwa ili pesa iweze kuingia.
Sasa usije ukafananisha na single mother ambaye yupo yupo ,kuolewa ni ngumu Sana.
Mkuu mbona unajipa moyo huku mtaani kesho tunaenda kuozesha sio single Mama ni Single bibi na kijana wa 29😀😀😀
Ukweli unaujua mkuu Single mama wanaolewa Mungu aliweka siri kubwa kwenye swala la Riziki na bahati laiti binadamu kama wewe ungeamua kweli ndoa tusinge shuhudia huku mtaani.Itakuwa sisi hatuishi duniani na huko mtaani wanaishi majini.
Sasa anafanana na wewe brooo
Weka salary scale yako hapa...acha wivuu
Ukweli unaujua mkuu Single mama wanaolewa Mungu aliweka siri kubwa kwenye swala la Riziki na bahati laiti binadamu kama wewe ungeamua kweli ndoa tusinge shuhudia huku mtaani.
Ukweli unaujua mkuu Single mama wanaolewa Mungu aliweka siri kubwa kwenye swala la Riziki na bahati laiti binadamu kama wewe ungeamua kweli ndoa tusinge shuhudia huku mtaani.
Unakataa kuoa Single mama unakuja kuoa binti aliyetoa mimba zaidi ya kumi ,Mkuu usikaze fuvu ndoa ni tasisi inahitaji Upendo wa kweli maswala ya Usingle mama ni kwa wanaume dhaifu.Wanaolewa na weak men na simps. Leo hii mwanaume yotote timamu hawezi kuoa single mom atapiga tu na kusepa
Hata ukiangalia vizuri hugo Azizi na huyo mwanamke wake aliyezalishwa ni kama tu amezidiwa akili anapelekwa pelekwa
Azizi ni dhaifu sana
Sisi tunao kaa huku tunakupa ukweli sasa.Yes Mimi sipo Tanzania na sikai na watu inawezekana ikawa hivyo mkuu