Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

Waombee wenzio mambo mazuri jamani sio poa hivyo.
Kuishi unyumba na wanaume kadha wa kadha,kuzaa na wanaume kadha wa kadha,kutembea na wanaume kadha wa kadha na kuchumbiwa na wanaume kadha wa kadha ndiyo ya kuombea kwa mwanamke wa kitanzania kweli.😊
 
Hivi kwa nini injinia anatumia pesa nyingi kutaka kutuaminisha kuwa hamtombi huyu malaya

Anaficha sana ili mashemeji zake GSM wasijue huu mwaka atachanika sana vibunda kulinda ndoa na ushemeji
 
Value yake ni kiasi gani mkuu. Hata ugali, maharage na mchicha mezani hushibisha.
Muulize muoaji ndio mwekezaji mwenyewe! Analipa kwa kuona value for money, mi mchangiaji najuaje? Wrong question to the wrong person
 
Ni aibu sana kwa mwanaume kulea bao la mwanaume mwenzake

Mwanaume yoyote anayeoa single mom ni dhaifu sana ni kama choko tu
Uhuru wa kuongea unaheshimika na imani yako haiwezi kuwa standard ya maisha ya wengine! Tujifunze kuheshimu maisha na mawazo ya watu wengine tena wasiotuhusu
 
Ni aibu sana kwa mwanaume kulea bao la mwanaume mwenzake

Mwanaume yoyote anayeoa single mom ni dhaifu sana ni kama choko tu
Ilikua kidogo nioe singo maza😅kwasababu I am broke and wasichana wabichi wananitolea nje Ila Kila nikimtazama. Broo Salim kikeke Yan Sina Ata haraka tena
 
Kuishi unyumba na wanaume kadha wa kadha,kuzaa na wanaume kadha wa kadha,kutembea na wanaume kadha wa kadha na kuchumbiwa na wanaume kadha wa kadha ndiyo ya kuombea kwa mwanamke wa kitanzania kweli.😊
Wewe umelala na wanawake wangapi? Kwahiyo ulitaka asiolewe? Na je angeolewa na mtu asiye na kitu ili mpate kumcheka vizuri? Je angelisema mdogo wako au dada yako? Huo wivu mwanamke tens mwenye watoto kaposwa million 30.
 
Back
Top Bottom