Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweeee, nani kasema?Duhhhhh. Wanawake hampendani kumbe 🤔
Mbona ni pesa ya kawaida hakuna cha Ajabu, hivi ushwahi kusikia mahari za matajiri warabu wa Zanzibar?Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Mkuu kikubwa kaolewa na mahari katolewa. Kudumu na kuto kudumu kwenye ndoa ni habari nyingine😂😂
Ukioa msanii tegemea ndoa ya kisanii 💯Ahakikishe atakapomuoa anapata mtoto naye fasta, asiishie kufanya show off ya ndoa, ndoa ya kisanii
Huyo si anasema I below 30+?Baby, umesahau kitu cha msingi... pia ni 30+
Wivu tu unawasumbua hao wengine hawajawahi chumbiwa hata mia , na wengine wamewasogeza tu vimada wao kwahiyo wivu tu.Mkuu kikubwa kaolewa na mahari katolewa. Kudumu na kuto kudumu kwenye ndoa ni habari nyingine😂😂
Unamfanya msichana awe msichana,mnatengeneza bond kubwa.Hamuwezi kusahauliana.Kumtoa binti bikira (Hymenoctomy) naona ni ukatili sana (GBV), na wote wawili hamuwezi enjoy, maana mshikemshike wake ni almost like raping 😇
Mshaanza kuzoom.Ni vizuri walee watoto wao. Ila wataachana tu nakwambia...nipo nimekaa paleeeeeeeee
Waombee wenzio mambo mazuri jamani sio poa hivyo.Ni vizuri walee watoto wao. Ila wataachana tu nakwambia...nipo nimekaa paleeeeeeeee