valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Kujifunza ulevi?
Mwamba alihusika katika magoli yote manne ya jana. Huyo mchezaji wenu atambue hapa Tanzania kuna mwamba mmoja tu. Kwa hiyo achukue muda mwingi ajifunze vitu kwa Mwamba wa Lusaka.
Kumbe kuna bingwa wa kuongoza kundiLete na inayoonesha mnaongoza group kwa kuwa juu ya Al Ahly
Halafu leta na ile inayowaonesha mko robo
Angalizo: usije ukaleta ile robo ya Azam FA
Hii ilikua mwaka gani mkuuHakuna kipyaView attachment 2340122
Mafanikio ni kubeba kombe sijawahi kusikia kombe la kufunga miamba ya soka. Ama kombe la robo fainali.Mmekazana kombe kombee kau mnamanisha kombe nyama ya ngo'mbe?? Sisi tunajulikana kwa kuwapiga miamba ya soka na kuongoza makundi. Robo fainali zikizidi zinakua nusu fainali mwisho tunachukua kombe siku si nyingi.
Nilipenda utaratibu wako ule ulio anza nao wa screenshot, huu wa maneno matupu kiukweli haufanyi hoja zako ziwe impressiveKumbe kuna bingwa wa kuongoza kundi
Huyo Fiston labda tumlinganishe na Aisha Djafar au OpahMwambieni Chama ajifunze kwa Fiston Abdulrazak
Hatuongelei timu tunamuongelea chama huyu huyu ambaye wakati ki aziz akitoa ma assist siku ya ngao ya hisani huyu chama alikua amekalia bench anashangaa tu goli mbili za fasta kama radi...Chama huyohuyo. Huwezi mlinganisha na mchezaji anayechezea timu ambayo haijawahi kushinda mechi yoyote ya kimataifa hata ya kirafiki tu tangu miaka ya 2014 huko.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
2014 kipindi hicho mnakula chapati za KadugudaHii ilikua mwaka gani mkuu
kuna bingwa wa kuongoza kundi? swali langu lipo hapoNilipenda utaratibu wako ule ulio anza nao wa screenshot, huu wa maneno matupu kiukweli haufanyi hoja zako ziwe impressive
Aisha ndio wewe?Huyo Fiston labda tumlinganishe na Aisha Djafar au Opah
Kuna bingwa wa kumfunga Al Ahly?kuna bingwa wa kuongoza kundi? swali langu lipo hapo
Nme leta screenshot kuonyesha kua kuifunga Al Ahly sio big deal wala hukukufanyi kua exceptionalKuna bingwa wa kumfunga Al Ahly?
Mbona umetuwekea screenshot?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili la yeye kuwa Kigamboni waende wakalifanyie kazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weka basi na screenshot inayoonesha Yanga anaongoza kundi akimzidi Al Ahly pamoja na screenshot inayoonesha mko robo ili tuone kweli sio big dealNme leta screenshot kuonyesha kua kuifunga Al Ahly sio big deal wala hukukufanyi kua exceptional
Utakua unafanana na Avatar yako2014 kipindi hicho mnakula chapati za Kaduguda
HahahaHuyo Fiston labda tumlinganishe na Aisha Djafar au Opah
muulize manula
Mwamba alihusika katika magoli yote manne ya jana. Huyo mchezaji wenu atambue hapa Tanzania kuna mwamba mmoja tu. Kwa hiyo achukue muda mwingi ajifunze vitu kwa Mwamba wa Lusaka.
Azizi yupo BarcelonaHuyo Chama hawezi kucheza nje ya Tanzania kwa sababu ni mchezaji wa kawaida sana basi tu watanzania kwa promo wanaongoza duniani.