Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafuatilia vitu vidogo visivyo na umuhimu wowoteJe, ni rafiki yake?; je, anampa pole kwa kusugua benchi? je , anawalaumu makocha kwa kutompa nafasi Sureboy ya kucheza? Au ni nini alimaanisha?
Ambebee maana yeye ana mambo mengi ya kufanyaJe, ni rafiki yake?; je, anampa pole kwa kusugua benchi? je , anawalaumu makocha kwa kutompa nafasi Sureboy ya kucheza? Au ni nini alimaanisha?
Je, ni rafiki yake?; je, anampa pole kwa kusugua benchi? je , anawalaumu makocha kwa kutompa nafasi Sureboy ya kucheza? Au ni nini alimaanisha?
Kibu kupiga hat trick?Tusubiri Kibu Mwaka atakao piga hat trick atampanani mpira wazawadi na ndio tutaelewa maana yake.
Wewe unaona vitu vidogo. Binafsi naheshimu sana mtu anayeona vitu ambavyo wewe unachukulia poa. Lakin ukifanyia analysis unakuja kuelewa.Unafuatilia vitu vidogo visivyo na umuhimu wowote
Tusubiri Kibu Mwaka atakao piga hat trick atampanani mpira wazawadi na ndio tutaelewa maana yake.
Denis Kibu ndiye anaenda kuwa mchezaji wa kwanza kuvunja rekodi ya Abdallah Kibadeni ya kufunga hat trick kwenye derby. Hifadhi haya maneno.Kibu kupiga hat trick?
Nina hakika hilo haliwezi kutokea
Ndugu mbumbumbu magoli yana anzia mazoezini, kibu ata mazoezini kufunga goli ni mtihani ana a. K. a yake, wenzake wanamwita kazi bure, Yaani Maguvu ni mengi yasiyo na Faida kwa timuDenis Kibu ndiye anaenda kuwa mchezaji wa kwanza kuvunja rekodi ya Abdallah Kibadeni ya kufunga hat trick kwenye derby. Hifadhi haya maneno.
Siku si nyingi Azik ki akiwa na Ali kamwe Afisa habari wa Yanga,walienda dukani Kwa Mzize.anakouza nguoAzik k ana bifu baridi na mzize, hutoona mzize akimfata Aziz k akifunga and vice versa hata wakipeana assist wanakua wagumu Sana mmoja kumfata mwenzake
Mnapenda sana habari za ange na tunge. Penati kila siku mnakosa, anayekuhakikishia hiyo penati angepata ni nani? Haujui hata timu zina wapigaji wa penati #1 na #2 zinapotokea katika mchezo.Ndugu mbumbumbu magoli yana anzia mazoezini, kibu ata mazoezini kufunga goli ni mtihani ana a. K. a yake, wenzake wanamwita kazi bure, Yaani Maguvu ni mengi yasiyo na Faida kwa timu
Hat trick si jambo la maana , ata MaX katika ushindi wa goli 5 dhdi Ya Simba akiwa amesha funga goli mbili na kuna penalty ilitokea angeweza kufunga na kupata hat trick.
Yanga waliona sikitu cha maana.
Kibu ni kumbakumba TU, wenzake uwanjani wanamwachia kwa wanahofia kuumizwaNdugu mbumbumbu magoli yana anzia mazoezini, kibu ata mazoezini kufunga goli ni mtihani ana a. K. a yake, wenzake wanamwita kazi bure, Yaani Maguvu ni mengi yasiyo na Faida kwa timu
Hat trick si jambo la maana , ata MaX katika ushindi wa goli 5 dhdi Ya Simba akiwa amesha funga goli mbili na kuna penalty ilitokea angeweza kufunga na kupata hat trick.
Yanga waliona sikitu cha maana.
Siku ukiona kibu kapiga hattrick njoo nikuoneshe kobe aliye juu ya mti bila kupandishwa.Kibu kupiga hat trick?
Nina hakika hilo haliwezi kutokea
Hizo off the pitch issues hata sizijui, nilikua naongelea ninacho observe uwanjani mkuuSiku si nyingi Azik ki akiwa na Ali kamwe Afisa habari wa Yanga,walienda dukani Kwa Mzize.anakouza nguo
Na Aziz ki alitoa Milioni moja Kwa Mzize kama sehemu ya kusapoti anachofanya
Sasa hebu tueleze kiundani umegundua bifu gani, kama hujui hakuna mtu ana upendo Kwa wenzie kama Aziz ki