Aziz Ki: Siondoki Yanga Mpaka Tubebe Ubingwa Wa Africa

Aziz Ki: Siondoki Yanga Mpaka Tubebe Ubingwa Wa Africa

Kweli humu jf siku hizi kuna watoto wadogo wakati Morrison anatoka yanga anaenda simba mpaka wakapelekana CAS ni yanga ndio ilimuacha nimekumbuka 4m6 wamemaliza shule wapo mtaaani ndio kuna utoto mwinyi siku hizi JF.
Kweli JF ina akili tofauti tofauti. Umekariri la utoto mwingi JF?. Kama una akili tuliza akili jiulize Morrison kuachwa YANGA inaendana vipi na utoto?. Morrison yuko wapi sasa hivi?. Hakuachwa na YANGA mpaka kwenda huko aliko?. Basi kama aliachwa kwenda huko aliko basi ujue kuna time aliachwa. KENGE WEEE
 
Kweli JF ina akili tofauti tofauti. Umekariri la utoto mwingi JF?. Kama una akili tuliza akili jiulize Morrison kuachwa YANGA inaendana vipi na utoto?. Morrison yuko wapi sasa hivi?. Hakuachwa na YANGA mpaka kwenda huko aliko?. Basi kama aliachwa kwenda huko aliko basi ujue kuna time aliachwa. KENGE WEEE
Umeona sasa wewe hujuelewi na hujui hata unachokisema kabla ya kupost kitu jitahidi ukielewe.
 
Huyu Azizi Ki ni mchezaji wa kulipwa au ni shabiki wa Yanga?
Jibu ni mchezaji wa kulipwa so anachofanya ni kuhakikisha Maslahi yake anayapata na asipopewa itaonekana na uongozi ndio umeshindwa kutimiza ila yeye anataka kubaki Yanga.
Anatengeneza mazingira uongozi ukubaliane na matakwa yake.
 
Umeona sasa wewe hujuelewi na hujui hata unachokisema kabla ya kupost kitu jitahidi ukielewe.
Kigezo chako alimaliza mkataba. Ndio kuna mchezaji anaweza kumaliza mkataba. Lakini yeye mchezaji bado anataka kubaki hapo. Na uongozi haumhitaji tena kumuongezea mkataba. Huyo utamwitaje?. Huyo ameachwa aende zake tu pamoja na kwamba anahitaji kubaki kwenye timu. Mpaka kesho Morrison anatamani sana kurudi YANGA. Kwa hiyo ameachwa
 
Kigezo chako alimaliza mkataba. Ndio kuna mchezaji anaweza kumaliza mkataba. Lakini yeye mchezaji bado anataka kubaki hapo. Na uongozi haumhitaji tena kumuongezea mkataba. Huyo utamwitaje?. Huyo ameachwa aende zake tu pamoja na kwamba anahitaji kubaki kwenye timu. Mpaka kesho Morrison anatamani sana kurudi YANGA. Kwa hiyo ameachwa
Ndio maana nikasema hujaelewa mimi hoja yangu ilikuwa kwa mara ya kwanza Morrison anaondoka yanga walisema washamalizana naye kama wanavyosema washamalizana na aziz ki sasa hivi ndio hoja yangu ilikuwa hapo kwamba hata hii inaweza ikawa danganya toto wewe unazungumzia Morrison aliyeenda simba akarudi yanga mi nazungumzia mkataba wa Morrison kabla hajaenda simba walituma mpaka picha ana sign ila mwisho wa siku wakapelekana CAS read between the lines next time.
 
Mpaka sasa Mimi ni Mchezaji wa Yanga na nafasi kubwa zaidi nawapa Yanga, namwamini Rais wa Yanga @caamil_88 yeye ndie amenileta hapa, tuna makubaliano yetu mimi na yeye kuwa Yanga inapaswa kucheza fainali ya Afrika na tutwae kikombe, hiyo ndio ndoto yangu na ikitokea tumecheza fainali na kubeba ubingwa nitamfuata Rais kumwomba baraka zake ili niondoke zangu, ila kwasasa bado malengo yangu na Yanga hayajatimia mpaka tucheze fainali ya Afrika”


- Stephen Aziz Ki wa Yanga, akijibu swali la Mwandishi Zainab Mohamed wa @TvAyoma kama atasalia Yanga msimu ujao.

View attachment 2999434
Mamaeeehh
 
Back
Top Bottom