Azizi ki amvulia kofia Chama

Mwamba chama unamfananisha na Aziz Ki!!!! Acheni kufananisha Pilau na makande
 
Nyuzi za mashabiki wa simbaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa ukanda huu wa Africa tuna Chama mmoja tu. - Timu ikitaka kuishinda Simba ihakikishe kwa dk zote 90 za mchezo Chama anapata mpira kwa dakika 12 tu.
 
Kwa ukanda huu wa Africa tuna Chama mmoja tu. - Timu ikitaka kuishinda Simba ihakikishe kwa dk zote 90 za mchezo Chama anapata mpira kwa dakika 12 tu.
Wanakuelewa ila ubishi tu
 
Ukikua utaacha
 
Kumbe chama amecheza moroco? 🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…