Mpwimbe
JF-Expert Member
- Oct 13, 2023
- 455
- 818
KafirweMsukule shangazi yako mbwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KafirweMsukule shangazi yako mbwa wewe
Weka tu mkuu ila mamboo yanaonekanaHahahaha haya tuwekee statistics za azizi ki na chama
Unachekesha Sana.....Kwa ukanda huu wa Africa tuna Chama mmoja tu. - Timu ikitaka kuishinda Simba ihakikishe kwa dk zote 90 za mchezo Chama anapata mpira kwa dakika 12 tu.
Ukikua utaachaWakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake. Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Una uanaume gani weweWanaume hatuvai shanga mkuu
Ulishanipaga kei hiyo nikashindwa ?Una uanaume gani weweView attachment 2799050
Pambana na huo muwasho kwenye speaker yakoUlishanipaga kei hiyo nikashindwa ?
Hata johora alifika fainali CAF vipi anamzidi uwezo Manula? UsinijibuAfike kwanza final ya CAF shindano lolote ndio tuanze kujadiliana
Kumbe chama amecheza moroco? 🤭Wakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake. Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Anamzidi mafanikio!!Hata johora alifika fainali CAF vipi anamzidi uwezo Manula? Usinijibu
Sio Johora tu hata Ambundo ni bora kuliko ChamaHata johora alifika fainali CAF vipi anamzidi uwezo Manula? Usinijibu
Nyuma mwiko fcmwakarobo fc