Ingawa Hiyo redio huwa naisikia tu kwenye daladala asubuhi napoenda kibaruani,, nalazimika kusema kuwa Charles na huyo Zungu wako vizuri sana.Sasa hii sijui tuna iitaje..
Lakin kwa upande mwengine sasafi sana maana wale akina chaz na zungu naona 1walikua wana jazana bila sababu ...
Hii project ya galacticos wa utangazaji itafeli kama ile galacticos ya pale Santiago Bernabeu ndani ya jiji la Madrid.Habari za uhakika nilizonazo ni kwamba B Dozen ameondoka EFM na kutaka kurudi Clouds. Hata hivyo hawajareach agreement na Clouds, at the same time Wasafi wanamnyatia.
Oscar Oscar ameondoka EFM, Amejiunga na Wasafi kwa signing fee ya shilingi milioni 100. Mshahara wake kwa mwezi ni shilingi milioni 6.5.
Gerald Hando naye amejiunga na Wasafi akitokea EFM.
Maulid Kitenge yuko kwenye hati hati. Diamond anataka kumpa milioni 200 na Range Rover. Wako hatua nzuri hasa ukizingatia kwamba Hando na Oscar ambao ni marafiki zake wakubwa wameshaaenda EFM.
Ni test ngumu kwa Majizzo, akivuka salama hapa EFM haitashuka hata siku 1.
SJUIT ilikua ni around 2.8m (mwaka 2016) associate prof.You're right, nashangaa humu watu wanaongea kwa kubahatisha.
Prof. salary scale nadhani ni 8m if I'm not wrong.
Hahaha...dah matola shikamooo una streitiiiUFM unamuongelea Bakhressa hapo ujuwe.
Mmiliki wa EFM ni DJ tu, siku si nyingi alikuwa anabeba maspika tu, tena kwenye nchi za kufuatiliana angejieleza ukwasi huo ameupata wapi ghafla hivi?
Ukute hvyo tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama ubaya kazi anayo
Atakua anatamani apate dawa za kumroga dozen aachike[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo ni wakukurupuka kama ID yake.Mpumbavu wewe
Hiyo milion 16 hata faida ya media haifikishi unaleta hadith za porini apa
Mpumbavu we
Dr anachukua 4.5 MNi kati ya 3.8M - 4.8M kutegemea na rank Associate professor - Full professor. Maprofesa ambao utawaona wapo vizuri kiuchumi huwa hawategemei mishahara sana utakuta ni miradi na tafiti hizo ndio huwa zinawaletea mpunga mrefu, wakikosa hizo au wakichoka ndio utawaona wanakimbilia kwenye siasa.
Kuna wengine ambao wamestaafu lakini wanaendelea kufundisha bila mkataba wa kueleweka (wanapiga semester to semester) ukisikia hela wanayolipwa ni frustrations, huwa wanafanya ili angalau kujiweka busy tu asikae nyumbani akapata msongo.
Labda kuandika kwake vibonzoMillion 100 Oscar kwa kipi special alichonacho?
Kwan ni kweli khamis analiwa n'yaa au mnamzushia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] laki 8 km mfanya kazi, je huduma na mahitaji anayopewa km mke???
Una muuliza nani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwan ni kweli khamis analiwa n'yaa au mnamzushia tu
Wewe apo lazima utakua unajuaUna muuliza nani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania 🇹🇿 nzima mzee wa vibonzo ni KIPANYALabda kuandika kwake vibonzo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sema kweliii.Wewe apo lazima utakua unajua
Unajichekesha mpk unaboa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sema kweliii.
Kapiga Clouds anajitolea kukuza jina, haambulii kitu pale
Sasa nifanyejeeUnajichekesha mpk unaboa
Mwamba analiwa nnyaa??????jibu kama mtu wa songea dar sio kwenuSasa nifanyejee