B Dozen, Oscar, Kitenge na Hando wameondoka EFM. Kitenge na Hando watua Wasafi

Mmmh
 
Signing fee milioni 100?embu naomba ufafa uzi unamaanisha nn hapa?
 
Ni mwehu peke yake ndio atakataa biashara iliyopo kwenye media kipindi iki izo hela zinazosemwa watu wanalipwa 80% ni kweli kitenge alirudishwa EFM kutoka wasafi kwa kibunda cha mahana siyo mchezo wamiliki wa media wanapiga hela sana EFM,WASAFI&CLOUDS

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Basi yaonesha Wasafi ilishuka sana hadi wakahitaji booster.

EFM walikosea wapi haijulikani



Clouds kwa mbali yeye anaendelea kuwepo tu, ngoja hawa wavurugane
Clouds baba yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…