Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

Watoto wa manjunju wa kutosha aloo acha kabisa miyeyusho sana marneo yale sema siku ambazo hakuna events ndio kuna utulivu kidogo unaweza ukakaa ukaangalia hapa mipira mipira watu wengi saivi wanapenda hapa barabaran hapa sheli ya mwanamboka kwa pemben kuna sehemu inatwa las karinyo ndio afadhali kuna ustaarabu na sababu ni sehemu ya askari,
Ok pale napapata, nasikia pale ukileta fyokooo, njeeee, safi sana!!
Na mwaka jana nilipokuja Dar nilienda hapo Las Carinyo Kuna vibe si la kitoto, ni kama la huku Dodoma wanapaita the Bistro, ikifikas saa 3 usiku jiandae kusimama, vibe lake balaa.
Angalau sahv kwenye hizi bar zenye mikeshesho kuna namna wanatufurahisha wateja wao...🍻🍻.
Sehemu ambako sijawahi kukanyaga ni Kitambaa cheupe zote, maana wakati zinaanzishwa nilikuwa huku Dom....😕
Sema nini, wanawake huwa tunapenda sana kunywa na kucheza muziki sehemu zenye wahuni....vibe linapanda🤗🤗🤗
 
Ok pale napapata, nasikia pale ukileta fyokooo, njeeee, safi sana!!
Na mwaka jana nilipokuja Dar nilienda hapo Las Carinyo Kuna vibe si la kitoto, ni kama la huku Dodoma wanapaita the Bistro, ikifikas saa 3 usiku jiandae kusimama, vibe lake balaa.
Angalau sahv kwenye hizi bar zenye mikeshesho kuna namna wanatufurahisha wateja wao...🍻🍻.
Sehemu ambako sijawahi kukanyaga ni Kitambaa cheupe zote, maana wakati zinaanzishwa nilikuwa huku Dom....😕
Sema nini, wanawake huwa tunapenda sana kunywa na kucheza muziki sehemu zenye wahuni....vibe linapanda🤗🤗🤗
Ahahahaha napajua the bistro, na wiki ilopita nlikuwa dom nlikuwa na mgonjwa benjamin, ila dodoma na penyewe pamewaka aisee. Kitambaa zote nna experience nazo sababu nimekaa tabata muda mrefu sana, ile ya sinza saivi ndio balaa sema malaya wa kutoshaa, ya tabata kabla hawajafunga mashoga na wahuni wa vingunguti walikuwa wanaiharibu, sijaenda walivyofungua… ila tabata pamekuwa noma saivi kuanzia bima mpaka kinyerezi ni balaa tupu! Mara ya mwisho nlikuja dom nlienda waswano sijui na bambalaga ila kabla ya hapo nlikuwa sijui wapi jamaa aloni host ndio alinipeleka huko, sikumbuk jina ila palikuwa na vibe sanaa
 
Ahahahaha napajua the bistro, na wiki ilopita nlikuwa dom nlikuwa na mgonjwa benjamin, ila dodoma na penyewe pamewaka aisee. Kitambaa zote nna experience nazo sababu nimekaa tabata muda mrefu sana, ile ya sinza saivi ndio balaa sema malaya wa kutoshaa, ya tabata kabla hawajafunga mashoga na wahuni wa vingunguti walikuwa wanaiharibu, sijaenda walivyofungua… ila tabata pamekuwa noma saivi kuanzia bima mpaka kinyerezi ni balaa tupu! Mara ya mwisho nlikuja dom nlienda waswano sijui na bambalaga ila kabla ya hapo nlikuwa sijui wapi jamaa aloni host ndio alinipeleka huko, sikumbuk jina ila palikuwa na vibe sanaa
Ohhh, safi.
Me kitambaa cheupe bado sijawahi fika.
Bambalaga nako pako vizuri hata pia Waswano, sema pale Waswano ikifika mida ya saa 6 na ushee wanapunguza muziki huku mnaendelea kula bata mdogo mdogo.
Yap, nilisoma kwenye mitandao kuwa kitambaa ya Tabata mashoga wanaiharibu sana, japo Jesca alisema hawezi jua mteja mmoja mmoja kwa kumuangalia wakati wa kuingia.
Ila si unajua tena mambo ya ushindani wa biashara, kila mtu atasema lake.
Anyway,....ya Ngoswe......!!!
Sahv Dodoma wamasema kumekucha, sema Dodoma kuna vigrocery balaa....halafu unakuta vimejaza nyomi.
Tabata kuanzia 40 40, The Great, Micasa sijui Small Planet nilishawahi fika kipindi hiko.
Sema Watz tunapenda sana bata, 🍻 na 🍛
 
Mimi hiko tu ndio kilikuwa kinaniacha hoi.
Halafu mule ndani watu hawapungui, unajua bado sana, kumbe saa 7 mchana....aloooo!!!!
Yaani pale sijui alipachimbia nini.
Tukianza kucheza muziki, ni mpaka tunajikuta hoi.
Ben pub bora iliondolewa
Watu wamekufa sana pale
Kwa kugongwa na magari
Watu wamekabwq sana
Maana ile Ben pub watoto wahuni wengi kutoka msisiri wanajaa pale
Mabaunsa sjui walinzi nao mule walikuwa weziii
Hiuu bondia dula mbabe si alikuwa mlinzi pale

Ova
 
Ben pub bora iliondolewa
Watu wamekufa sana pale
Kwa kugongwa na magari
Watu wamekabwq sana
Maana ile Ben pub watoto wahuni wengi kutoka msisiri wanajaa pale
Mabaunsa sjui walinzi nao mule walikuwa weziii
Hiuu bondia dula mbabe si alikuwa mlinzi pale

Ova
Tena mabaunsa wa pale walikuwa ni wezi balaa.
Unaiba ndani, wanakufungulia geti la pembeni pale unapita, mnaenda kugawana muamala nje.
Kuna ile kesi ya yule dada na mwanaume wake kuuliwa na wahuni uliisikiaga, walikuwa wametoka Ben, iliitikisa sana Ben Pub.
Watoto wa Msisiri, UMABO, ABAJALO wote utawakuta pale.
Ndio, Dulla alikuwa pale, ukileta fujo unatupwa nje kwenye viti...😄😄😄.
Hv ulikuwa unajua kazi ya kile chumba kidogo mwishoni kule chooni ?😄😄😄😄
 
Tena mabaunsa wa pale walikuwa ni wezi balaa.
Unaiba ndani, wanakufungulia geti la pembeni pale unapita, mnaenda kugawana muamala nje.
Kuna ile kesi ya yule dada na mwanaume wake kuuliwa na wahuni uliisikiaga, walikuwa wametoka Ben, iliitikisa sana Ben Pub.
Watoto wa Msisiri, UMABO, ABAJALO wote utawakuta pale.
Ndio, Dulla alikuwa pale, ukileta fujo unatupwa nje kwenye viti...😄😄😄.
Hv ulikuwa unajua kazi ya kile chumba kidogo mwishoni kule chooni ?😄😄😄😄
Ilevpub ilikuwa ya kishnz sana
Nlijuwa tu iko siku itaondoka mazima

Ova
 
Ohhh, safi.
Me kitambaa cheupe bado sijawahi fika.
Bambalaga nako pako vizuri hata pia Waswano, sema pale Waswano ikifika mida ya saa 6 na ushee wanapunguza muziki huku mnaendelea kula bata mdogo mdogo.
Yap, nilisoma kwenye mitandao kuwa kitambaa ya Tabata mashoga wanaiharibu sana, japo Jesca alisema hawezi jua mteja mmoja mmoja kwa kumuangalia wakati wa kuingia.
Ila si unajua tena mambo ya ushindani wa biashara, kila mtu atasema lake.
Anyway,....ya Ngoswe......!!!
Sahv Dodoma wamasema kumekucha, sema Dodoma kuna vigrocery balaa....halafu unakuta vimejaza nyomi.
Tabata kuanzia 40 40, The Great, Micasa sijui Small Planet nilishawahi fika kipindi hiko.
Sema Watz tunapenda sana bata, 🍻 na 🍛
Ahahaha noma sana, dar nimezunguka karibu kote na muda mwingine sio kwasababu ya mitungi hapana najaribu tu ku explore life la usiju la watu wengine, sema saivi sio saaaana nimeamua kuchil kidogo japokuwa siku moja moja i go wild, nna jamaangu sijapokea simu yake hii wiki ya pili ye kila ijumaa lazima apige simu 😂😂😂😂, sometime me napenda kuchil tu home nitafakari mipango yangu sababu kama kuamsha tumeamsha sanaa
 
Itaje hata kinyume nyume.... 🥴
Inaanza H
bar za kujazana watu km nziii sizitakagi
Kuna siku nlikuwa napiga maji na jamaa yngu mmoja kijiyonyama pale sofun jamaa mwqndishi wa habari maarufu tu jina kapuni
Pale ni kama kijiwe chk
Mida ya saa sita usiku nkamwambia mbn hapa kna watu kama siwaelewielewi tuondoke,jamaa kagoma
Ile naondokq tu huku nyuma nasikia majambaz wamewapiga ambush 😄
Masai club hivyo hivyo ilinikuta machale yakanicheza natoka watu wanaingiaaaa walevi wamelazwa chini
Nkakoswakoswa tena maridadi bar mkwajuni kule ohooo nkasema sasa mambo ya kupuyanga npunguova
 
Kabla ya sinza ilikuwa kinondoni...
Ni ile tu inafika stage unaona hamna jipya acha nile bwaks ndani au kipub cha karibu au niache kabisa...
Tabata nao one day watasanuka, watapunguza..
Halafu kutaibuka chimbo lingine..
Life is a cycle.
 
Jina pia ( TA-BATA ) ni jin flan hivi la Vibe..

Kingine Tabata kuna vijana wengi sana.. pia mazingira ya hizo bar zilivyokaa zinahimiza sana watu kula bata..

Mie huwa nafanya Surveillance.. natokea Segerea.. mfn mida ya saa 5 usiku, napita sanene pale nashuka barakuda na nyoosha mpk kitambaa.. navuka naenda mpk Bima pale nakula kushoto naelekea njia ya kimanga mpk pale KEMPU.

Hapo kotee nakuw nishaona wapi kuna VIBE... sasa naanza na kiwanja maybe cha Small planet, nawaka hata kwa 1 hr nahama naingia kitambaa au the great.. hivyo hivyo mpk narudi Segerea tyr kumekucha...

Ila kwa Tabat nzima.. pale Segera stand kuna ile Bar aisee pale wale wahudum wazur sana.. sijaon kwa bar/night club za tabata wanaowapiku wale.
 
Mimi hiko tu ndio kilikuwa kinaniacha hoi.
Halafu mule ndani watu hawapungui, unajua bado sana, kumbe saa 7 mchana....aloooo!!!!
Yaani pale sijui alipachimbia nini.
Tukianza kucheza muziki, ni mpaka tunajikuta hoi.
Kama mnaiongelea Pub ya Ben Kinyaiya yule ni rafiki wa Wacongo.

Wacongo kwenye ndumba ni hatari, Ona kitambaa cheupe ya binti wa King Kii.
 
Kabla ya sinza ilikuwa kinondoni...
Ni ile tu inafika stage unaona hamna jipya acha nile bwaks ndani au kipub cha karibu au niache kabisa...
Tabata nao one day watasanuka, watapunguza..
Halafu kutaibuka chimbo lingine..
Life is a cycle.
Last weekend nimetendembelea ukonga mazizini njia ya kwenda Moshi bar, hapo nimekuta lidude linaitwa kumalija Pub, nadhani hii ndio kiwanja ya watu wa Goms, ukonga, Banana, kitunda ndio kiwanja Chao hawana shida ya kutoka maeneo Yao huko, NI Eneo kubwà Sana tena ni pub ya ndani na mvua hizi no problem.
 
Ahahaha noma sana, dar nimezunguka karibu kote na muda mwingine sio kwasababu ya mitungi hapana najaribu tu ku explore life la usiju la watu wengine, sema saivi sio saaaana nimeamua kuchil kidogo japokuwa siku moja moja i go wild, nna jamaangu sijapokea simu yake hii wiki ya pili ye kila ijumaa lazima apige simu 😂😂😂😂, sometime me napenda kuchil tu home nitafakari mipango yangu sababu kama kuamsha tumeamsha sanaa
Ni vizuri.
Kuna wakati ukifika, mwili auhitaji misukosuko na mikelele ndio maana unaamua kujipumzikia zako.
Ila siku moja moja huwa lazima kujumuika na ndugu,jamaa na rafiki kilajini.
 
Back
Top Bottom