Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

Enzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa.

Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana, Shikamoo, Angel Bar, Marahaba, Dagaa Dagaa na nyinginezo nyingi.

Siku hizi Tabata unakutana na Small Planet, Kitambaa Cheupe, Barakuda, The Great, Kwetu Pazuri(Twest) na nyinginezo nyingi zinazoibuka kila mahali.

Leo asubuhi nawahi kazini nakutana na convo imebebana wamelewa chakari na vyupa mkononi, nikasema kweli Tabata imekuwa mpya. Tetesi za mahospitali nimesikia pia imekuwa makao makuu ya UTI sugu.

😂😂😂😂Makao makuu ya Gonorrhea
 
Enzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa.

Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana, Shikamoo, Angel Bar, Marahaba, Dagaa Dagaa na nyinginezo nyingi.

Siku hizi Tabata unakutana na Small Planet, Kitambaa Cheupe, Barakuda, The Great, Kwetu Pazuri(Twest) na nyinginezo nyingi zinazoibuka kila mahali.

Leo asubuhi nawahi kazini nakutana na convo imebebana wamelewa chakari na vyupa mkononi, nikasema kweli Tabata imekuwa mpya. Tetesi za mahospitali nimesikia pia imekuwa makao makuu ya UTI sugu.

Nadhani siku hizi watu wa Sinza ni kama wamekuwa wanapenda bar za indoor, hizo ndizo zimekuwa mashuhuri kuliko za wazi.

Hivyo, unaweza kudhani hazipo, ila zimejifungia ndani. Hata Kitambaa Cheupe imewaweka ndani wateja wake.

Ova
 
Acha tu
C Park Matema na Ben, ilikuwa unavuka tu barabara.
Tukitoka hapo tunakutana PapiChulo.

Hv unakumbuka Ben Pub na ule mlango wa tinted?
Unajua bado hakujakucha, ukifungua mlango tu, saa 4 asubuhi ... nachoka hoi[emoji3061][emoji11][emoji11]

Pale ben pub kuna siku nimetulia mule na mwanangu niko high sielewi ...jamaa ananiambia oya tuchole mi bila kuangalia muda namwambia mbona mapema mzee tuvute jamaa ananiforce naona acha nitoke zangu ile natoka nje aisee asubuhi kweupe dah! naangalia muda ni saa 2 inakalibia na nusu aisee nikajisemea tu hii sasa too much [emoji1787][emoji1787]jau sana mule [emoji1787][emoji1787]
 
Enzi hizo mzee yuko hai nimekulia hapo mtaa wa Nkrumah karibia na roundabout ya mnara wa saa nimesomea primary hapo kidongo che kundu ile shule zamani ikiitwa kisarawe primary baadae ikawa sekondar dar es salaam sekondari, but since mzee alipofariki mambo yote Yakaparanganika yalikuja kukaa sawa tulipokuja kuwa wakubwa na kuwa na Mishe zetu, but kipindi mile nakua maeneo yangu ya kuzurura kuanzia posta kula samaki jioni naenda kuangalia mazoezi ya yanga usiku tunaenda cinema hapohapo mtaani kwetu nkrumah au beach tunaenda na watoto wa kihindi but mzee alipofariki ndipo nilipojua kwamba kuna shida duniani na ndugu ni mbwa sio ndugu.
Hatimaye nimekutana na mwana Kisarawe mwezangu.. long time mzee.. cinema hapo Nkrumah ilikuwa ni New Chox, tizama sana movie za kihindi, movie zilikuwa na break manina😂. Tunaenda break tunarudi tena.. waaay back 🙌🏽
 
Mambo haya nishawahi kuwasimulia wana walikataa wakati mimi ilinitokea.
Nilimbanduaga mwanamke, ile harufu ilitoka baada ya siku nne.
Nilikuwa nikijifunika shuka shuka nasikia harufu chafu tu, kidole nilichopigia finga hata nioshe lakini baada ya muda nasikia harufu ya ukuma.
Siku nyingine ikikutokea osha kidole au mjegeje kwa bia yoyote, harufu inakata
 
Niliacha kutoka night-club asubuhi baada ya kukutana na wanafunzi wangu barabarani mitaa ya Ben Pub Kinondoni wanaelekea kanisani.
Niko chweeee.....wakanipokea mkoba nayumba balaa.

Mpaka leo, ikifika saa 8 usiku ni mwisho wa kukaa bar/nightclub.
Sitaki dhalili mimi.
Madam,nitakuchek nipo Dodoma pia
 
Enzi hizo mzee yuko hai nimekulia hapo mtaa wa Nkrumah karibia na roundabout ya mnara wa saa nimesomea primary hapo kidongo che kundu ile shule zamani ikiitwa kisarawe primary baadae ikawa sekondar dar es salaam sekondari, but since mzee alipofariki mambo yote Yakaparanganika yalikuja kukaa sawa tulipokuja kuwa wakubwa na kuwa na Mishe zetu, but kipindi mile nakua maeneo yangu ya kuzurura kuanzia posta kula samaki jioni naenda kuangalia mazoezi ya yanga usiku tunaenda cinema hapohapo mtaani kwetu nkrumah au beach tunaenda na watoto wa kihindi but mzee alipofariki ndipo nilipojua kwamba kuna shida duniani na ndugu ni mbwa sio ndugu.
Duniani kuna shida, na ndugu ni mbwa siyo ndugu"

Mwisho wa kunukuu.
 
Bia ni kwa wale wanaotaka matraako anapaka kila siku kwenye makalio na shepu yake kama ni mwanamke ataleta mrejesho,,, unataka mjegeje wake unenepeane?
Mwaka 2010,nilipata demu mkali hatari,alikua anasoma IFM,nilimpa pesa,mitoko ya maana sana,kipindi hicho City Garden Dar Es Salaam na Club Bilicanas zinakimbiza balaaa!!

Siku moja baada ya miezi sita akasema nakuja kwako,nikasema leo ndiyo leo,labda awe period la sivyo nakula mzigo!

Demu kafika gheto,kaoga kafanya usafi,kapika tukala! Tukiwa pale pale kwenye kochi,nikaanza chombeza,nikaanza kula mate,kupiga finger hivi,nikatoka na harufu kali sana, harufu mithili ya wale samaki aina wa ng'onda, wenyeji wa Lindi na Mtwara wataelewa..

Mwili ukawa unagoma kabisa kuendelea,lakini Abdallah kichwa wazi hataki kabisa kuachia mechi,alitaka kuzama kunako gizani nakuchungulia kuna nini??

Nikazamisha mpini kunako kinu,ile pump ya kwanza tu,harufu ilitoka kali sana,hadi Dulla mwenyewe akapoa,nikafungua madirisha yote walau hewa ipite wapi, nikaenda kunawa kidole changu na dula nae anawe wapi, harufu iko pale pale,nikaoga kwa sababu ya Imperial na Detal juu wapi, harufu iko pale pale, nikarudi sebuleni, nikamkuta demu analia,anasema yeye kila mwanaume hua anamkimbia nakumuacha sababu ya hiyo kitu!

Nikawa na mimi nimepanic,nikasema haina neno,kesho tutaenda kwa Dkt,akucheki tuone shida ni nini?? Dkt alimpa vidonge flan hivi,akawa anaweka kwenye K,anakiingiza ndani kabisa kile kidonge,then anavaa chupi!

Yule demu alipona kabisa na baada ya hapo,nilihondomola balaa sana,tulikuja potezana baada ya mimi kupelekwa Lindi,na demu akawa anakuja Lindi mara moja moja sana,akaja akaolewa na mimi nikaoa zangu! Lakini bado tunawasiliana
 
WAcha ziendee

Zimeuaaa nduguu wengi Sanaa
Sehemu zikijaa mabar pub hapafai,sinza kwenyewe sy sehemu ya kuishi na familia
Sahv tabata napo panakuwa kwa ovyo...
Sinza bar iliyovuma sana zamani ilikuwa mwika mpwaaa,hapo tumepiga sana ulabu
Alafu bar za zamani tofauti na sahv mpwaa zamani bar watu wanakutana wanaongea mioango tu,siku mabar sjui lounge zimevamiwa na watoto waimba singeli amapiano vurugu tupu

Ova
 
Mwaka 2010,nilipata demu mkali hatari,alikua anasoma IFM,nilimpa pesa,mitoko ya maana sana,kipindi hicho City Garden Dar Es Salaam na Club Bilicanas zinakimbiza balaaa!!

Siku moja baada ya miezi sita akasema nakuja kwako,nikasema leo ndiyo leo,labda awe period la sivyo nakula mzigo!

Demu kafika gheto,kaoga kafanya usafi,kapika tukala! Tukiwa pale pale kwenye kochi,nikaanza chombeza,nikaanza kula mate,kupiga finger hivi,nikatoka na harufu kali sana, harufu mithili ya wale samaki aina wa ng'onda, wenyeji wa Lindi na Mtwara wataelewa..

Mwili ukawa unagoma kabisa kuendelea,lakini Abdallah kichwa wazi hataki kabisa kuachia mechi,alitaka kuzama kunako gizani nakuchungulia kuna nini??

Nikazamisha mpini kunako kinu,ile pump ya kwanza tu,harufu ilitoka kali sana,hadi Dulla mwenyewe akapoa,nikafungua madirisha yote walau hewa ipite wapi, nikaenda kunawa kidole changu na dula nae anawe wapi, harufu iko pale pale,nikaoga kwa sababu ya Imperial na Detal juu wapi, harufu iko pale pale, nikarudi sebuleni, nikamkuta demu analia,anasema yeye kila mwanaume hua anamkimbia nakumuacha sababu ya hiyo kitu!

Nikawa na mimi nimepanic,nikasema haina neno,kesho tutaenda kwa Dkt,akucheki tuone shida ni nini?? Dkt alimpa vidonge flan hivi,akawa anaweka kwenye K,anakiingiza ndani kabisa kile kidonge,then anavaa chupi!

Yule demu alipona kabisa na baada ya hapo,nilihondomola balaa sana,tulikuja potezana baada ya mimi kupelekwa Lindi,na demu akawa anakuja Lindi mara moja moja sana,akaja akaolewa na mimi nikaoa zangu! Lakini bado tunawasiliana
Hongera kwa kumtibisha dada wa watu
 
Hatimaye nimekutana na mwana Kisarawe mwezangu.. long time mzee.. cinema hapo Nkrumah ilikuwa ni New Chox, tizama sana movie za kihindi, movie zilikuwa na break manina😂. Tunaenda break tunarudi tena.. waaay back 🙌🏽
Mzee nitakuwa nakupata kama umekulia Nkrumah ule mtaa familia zetu sisi wamatumbi zilikua familia tatu mtaa mzima waliobaki ni wahindi na waarabu, jioni tunaenda kununua mikate na cone kwa bakhresa, matonya enzi hizo anapenda kulala chini hapo kwenye mataa then ananyosha kopo lake juu tunamwekea mawe anajua hii so pesa anatupa.
 
Sehemu zikijaa mabar pub hapafai,sinza kwenyewe sy sehemu ya kuishi na familia
Sahv tabata napo panakuwa kwa ovyo...
Sinza bar iliyovuma sana zamani ilikuwa mwika mpwaaa,hapo tumepiga sana ulabu
Alafu bar za zamani tofauti na sahv mpwaa zamani bar watu wanakutana wanaongea mioango tu,siku mabar sjui lounge zimevamiwa na watoto waimba singeli amapiano vurugu tupu

Ova
Hapo mwika ndipo nilipokuja kujuwa kuna chakula kinaitwa kokoto, Yani ugali na kokoto.

Kuna breakpoint nao wakawa na roast yao wanaiita Jirambe.

Aisee watu wa Moshi Arusha kwenye majiko ni wabunifu Sana.
 
Back
Top Bottom