mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Aise hatari sana ilikuwaHapo mwika ndipo nilipokuja kujuwa kuna chakula kinaitwa kokoto, Yani ugali na kokoto.
Kuna breakpoint nao wakawa na roast yao wanaiita Jirambe.
Aisee watu wa Moshi Arusha kwenye majiko ni wabunifu Sana.
Ukienda Hugo napo pale walikuwa
Na makange fulani safi sana
Ova